Hapa haifai mkuu kwa faida ya wote?Njoo DM Kama upo seriously
Aseme Hapa Hapa Huko Utapigwa Utosini UtazimiaHapa haifai mkuu kwa faida ya wote?
Ndo najiuliza kwa nini DM?? Kama anaelewa utaratibu aweke hapa ili hata next time watu wengine wafaidike.Aseme Hapa Hapa Huko Utapigwa Utosini Utazimia
Natumiwa kama zawadiUshuru Wana calculate bei ya bidhaa kwa kiwango cha ushuru ulipo kiserikali kupitia watu wa Custom
Natumiwa kama zawadiUshuru Wana calculate bei ya bidhaa kwa kiwango cha ushuru ulipo kiserikali kupitia watu wa Custom
Simu mpya inaangukia kwenye group la electronics
Kuna kodi ya import duty 25% , railway development @1.5% halafu kuna kodi nyingine tena @.5% ukimaliza hapo ndo unakuja dude la vat @18%.
Nililipa kodi 115700 kwa earphone nilizo unua dola 91 ebay
taabu sana!Simu mpya inaangukia kwenye group la electronics
Kuna kodi ya import duty 25% , railway development @1.5% halafu kuna kodi nyingine tena @.5% ukimaliza hapo ndo unakuja dude la vat @18%.
Nililipa kodi 115700 kwa earphone nilizo unua dola 91 ebay
Haijalishi kodi haitambui maswala ya zawadi ingekuwa hivo kila mtu angekuwa anasema amepewa zawadi huko ulaya ili asilipe kodi.Natumiwa kama zawadi
Haya maswala huwa yakienda bungeni kujadiliwa kama miswada wabunge huwa wanapitisha tu bila kujua impact zake . Matokeo yake ni makofi amabayo hayalipiki na ni mzigo! Imagine 7nanunua simu halafu unalazimiika kulipa na maendeleo ya reli!!taabu sana!