Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Hello Wana Great Thinker,
Leo nimemsikia Mheshimiwa Paulo Kagame akisema ameondoa visa kwa waafrika wote, kuna swali naulizia, vipi kuhusu ushuru wa kuingiza bidhaa nchini Rwanda ukoje ni asilimia ngapi?
Swali la mwisho kama kuna mtu anayejua ushuru wa hizi Hose za Benzi tractor, kama kuna mtu yuko Rwanda naomba tuwasiliane please.
Leo nimemsikia Mheshimiwa Paulo Kagame akisema ameondoa visa kwa waafrika wote, kuna swali naulizia, vipi kuhusu ushuru wa kuingiza bidhaa nchini Rwanda ukoje ni asilimia ngapi?
Swali la mwisho kama kuna mtu anayejua ushuru wa hizi Hose za Benzi tractor, kama kuna mtu yuko Rwanda naomba tuwasiliane please.