kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,930
Habari za uzima ndugu zangu, ndio tunaumaliza mwaka huu kwa kishindo, baada ya kujichanga ndani ya mwaka huu, nimetenga bajeti ya Tsh. laki 5 kwaajili ya kubadilisha maandhari na kuatafakari mambo mapya kwa mwaka ujao wa 2024.
Baada ya kutafuakari kwa kina nimeona niende Morogoro (wanasema mji kasoro bahari), kwa bajeti yangu hii ya laki 5 ni sehemu gani nzuri sana ambayo nitahifurahia sana nikiwa Morogoro kwa siku tatu
Je, kwa bajeti iyo inatosha watu wawili (hatutumii kilevi) ni chakula na kupumzika? Naombeni maoni yenu na mtazamo wenu na ushauri wenu ndugu zangu ndugu zangu.
NOTE: Sina gari private, natumia public car kufika Morogoro.
Baada ya kutafuakari kwa kina nimeona niende Morogoro (wanasema mji kasoro bahari), kwa bajeti yangu hii ya laki 5 ni sehemu gani nzuri sana ambayo nitahifurahia sana nikiwa Morogoro kwa siku tatu
Je, kwa bajeti iyo inatosha watu wawili (hatutumii kilevi) ni chakula na kupumzika? Naombeni maoni yenu na mtazamo wenu na ushauri wenu ndugu zangu ndugu zangu.
NOTE: Sina gari private, natumia public car kufika Morogoro.