Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Bashe fungua mipaka. Bashe wewe ni jembe. Mama amekupa rungu ili wakulima wapate pesa.
Hii nini sasa?
====
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Tamasha la Utamaduni la Bulabo Mkoani Mwanza leo June 13,2023 ambapo moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba yake ni kuwaomba Wakulima kuhifadhi chakula na kutouza nje.
"Ndani ya Taifa let sasa akiba ya chakula ipo kama Tani laki 2 hadi laki 2 na Elfu 50 kwa kuanzia mwaka huu mavuno yaliyoanza tunakwenda kumwaga fedha kununua chakula, tunataka kuwa na hifadhi ya chakula Tani laki 5 kwa mwaka huu tunaoanzia, Nchi yetu iwe na Tani laki 5 tutakazohifadhi kwenye maghala yetu, nimeshampa kibali Waziri wa Kilimo a Waziri wa Fedha atoe fedha tuanze kununua mazao sasa"
"Niwaombe sana Wakulima mazao tusivushe kwenda nje tusubiri Wizara inakuja kununua mazao ili tuweke kwenye hifadhi, naziomba Familia zote za Wakulima waweke chakula cha kutosha kwa ajili yao, nitoe wito kwa Wakulima kutunza chakula cha kutosha, kuweka akiba ya chakula kwa matumizi va Familia na tusiuze chakula nie kibakie ndani kwa matumizi yetu, litakapokuja suala la uhaba wa chakula Tanzania tuwe tume iweka vizuri hauna shida ya chakula"
"Narudia tena tukumbuke kuweka akiba ya chakula, najua Ndugu zanguwa kisukuma mavuno hava tukishauza na bei zipo nzuri sasa wakina Baba tutakimbilia kuongeza nyumba za pili, mwenye mbili anakwenda ya tatu, si vibaya hatuna wivu hatukatai lakini mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza a mashamba ili tuvune zaidi tuongeze chakula zaidi"
Chanzo: Millard Ayo
Hii nini sasa?
====
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Tamasha la Utamaduni la Bulabo Mkoani Mwanza leo June 13,2023 ambapo moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba yake ni kuwaomba Wakulima kuhifadhi chakula na kutouza nje.
"Ndani ya Taifa let sasa akiba ya chakula ipo kama Tani laki 2 hadi laki 2 na Elfu 50 kwa kuanzia mwaka huu mavuno yaliyoanza tunakwenda kumwaga fedha kununua chakula, tunataka kuwa na hifadhi ya chakula Tani laki 5 kwa mwaka huu tunaoanzia, Nchi yetu iwe na Tani laki 5 tutakazohifadhi kwenye maghala yetu, nimeshampa kibali Waziri wa Kilimo a Waziri wa Fedha atoe fedha tuanze kununua mazao sasa"
"Niwaombe sana Wakulima mazao tusivushe kwenda nje tusubiri Wizara inakuja kununua mazao ili tuweke kwenye hifadhi, naziomba Familia zote za Wakulima waweke chakula cha kutosha kwa ajili yao, nitoe wito kwa Wakulima kutunza chakula cha kutosha, kuweka akiba ya chakula kwa matumizi va Familia na tusiuze chakula nie kibakie ndani kwa matumizi yetu, litakapokuja suala la uhaba wa chakula Tanzania tuwe tume iweka vizuri hauna shida ya chakula"
"Narudia tena tukumbuke kuweka akiba ya chakula, najua Ndugu zanguwa kisukuma mavuno hava tukishauza na bei zipo nzuri sasa wakina Baba tutakimbilia kuongeza nyumba za pili, mwenye mbili anakwenda ya tatu, si vibaya hatuna wivu hatukatai lakini mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza a mashamba ili tuvune zaidi tuongeze chakula zaidi"
Chanzo: Millard Ayo