Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Mkuu, huyu mleta uzi tayari amejiharibia hapa jf na kila atakapo gusa azima atatoswa na mdada kwa kuhofia kuanzishiwa uzi.
Minaona amtaje tu kwakua ameshaanza kumwaga ubuyu hahaaa..... Jf bhana....
Si atabadili ID
 
Kaandika sms eti nimeamua kumdhalilisha na kusema "Mark ma words ukifuata ushauri wa Jf you will ruin your life!! Sijui let me wait to be ruined by Jf advise

WTF? This advice will ruin your life? Nilikua nataka nikuambie umpe kalikizo atabadilika na kurudi mwenyewe akitembelea magoti lakini no! Huyo manipulator hafai in any way possible.
 
first sina huo mda wa kuwaambia mods wakupige ban kwa lipi hasa?wewe si umeomba ushauri huo ndio ushauri sio fair kuendelea kuranduka hapa wakati yeye mlengwa hayupo yani huu ni udhalilishaji maana wakati mnapigiana simu na kutongozana mbona hakuja kutuambia iweje kwa hili unataka uonekane huna makosa?

mpaka muda huu hajatokea ujue kosa ni lake mwenyewe so kama nawewe unamtetea mwanamke mwenzio ujue kuwa nawewe ndo wale wale akili moja vichwa tofauti sasa hayo mambo ya ban yametoka wapi wakati si muhusika
 
Kaveli umenena hahahaaaa sisi wanawake sisi bwana ni changamoto jaman looo...... . MO11 kuna mistari inasema " kimbia faster toka nduki we kimbia ukianguka ukiumia inuka vumilia" sijui aliimba nani

Marehemu Langa...
 
Last edited by a moderator:
Hapana mkuu sijasema wewe ndo umefanya makosa nimeongelea uzoefu wangu tu. Na kitendo cha yeye kukaa kimya haimaanishi kwamba yeye ndo kakubaliana na haya watu wengine hawajuagi kubishana na hata hivyo si busara mambo yenu ya chumbani kuja kujadiliana hapa

Si her wangefika hata huko chumbani
 
Superbrand mimi nakuomba sana sana kama dada yako yatosha sasa,unakoelekea siko kabisaaa,umeshalitoa lako la moyoni yatosha sasa usijibu tena,wewe hujamtaja mtu ila watu ndo wanaendelea kupamba.

Jua tu hakuwa wako huyo na shukuru Mungu anakupenda amekuonyesha mapema kabla hujadondoka mzima mzima,sisi wote ni wakosaji hakuna aliyekamilika hata mmoja,hilo ni funzo kwako na kwetu pia huwezi kujicommit asilimia zote kwa mtu unayemfahamu kwenye keyboard,zipo kanuni za upendo na katika huo upendo zipo hatua za kupenda,na katika hilo my kaka ulibugi,so haina haja ya kulalamika sana huwa tunajifunza kupitia makosa.

Narudia tena weka hasira pembeni maisha yaendelee,hii hasira uliyonayo iwe chachu bora ya kuwa makini zaidi ya kumchagua umpendaye,hasira hii take it positively utakuja shangaa how good you are,unavyoendeleza hasira na chuki hapa hautendei haki moyo wako,please achana na hii kitu usijibu tena quotes za watu namna hiyo.

MSUTO UNAKUJA, NA KEKI JUU NA SHAMPENI NA AMEKODIWA MZEE YUSUFU KABISAAA, UZI UTAANZISHWA NA MTUHUMIWA. Haiwezekani mwanamke mwenzetu adhalilishe hivi. Hicho kichambo FUNGUA MWAKA. cc amu

THANK GOD! This is more like you! Kule kwa wapiga manyanga ya mganga kushadadia ubuyu mwanamke mwenzio anaanikwa WAS NOT LIKE YOU KABISAAA. Kuna wenyewe team USHUZI.

Women...sijui ladies....sjui girls.....
Yani kwa kweli there is some work to be done on your personalities
 
Last edited by a moderator:
Nashindwa kuelewa watu wanautoa wapi ujasiri.,, unaanza tu kukutana na mtu wa mtandaoni. Wengine majambaz/wabakaji wapo humu...

Ladies take care..

Humu kuna mpaka wadada wa corner bar.
 
Nashindwa kuelewa watu wanautoa wapi ujasiri.,, unaanza tu kukutana na mtu wa mtandaoni. Wengine majambaz/wabakaji wapo humu...

Ladies take care..

Shukran kwa precaution
 
Ndo maana nlisema nawaogopa watu wa jf....Aisee tutaishia huku majukwaani tu...kuonana nooooo....

Nakuunga mkono ktk hilo sina mpango wa kuonana na mtu humu.. Nina rafiki wa karibu humu ila kamwe staki wajue I'd yangu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wadada wengi baada ya kuona mtaani wanapoishi, hamna tena watu wanaowafata, eidha kwa sifa zao mbaya au mwingine huwa bize na kazi hufikia kipindi hata mtaani huonekana weekend tu, so ni ngumu kukutana na mwanaume amtakaye huja mitandaoni na kujaribu bahati yake, wengine hubahatika kumpata aliyekuwa ana mhitaji kwa sifa zake, wengine ndio wana bahati mbaya kukutana na majangili wa mapenzi,! Mapenzi ya mitandaoni ni kamari unaweza lamba dume au garasa© all jf ladies
 
miss chagga unamsingizia. Miss chagga hana swaga za kimakonde kama hivyo, I know her. She is very kind, jovial and charming, wala hutojuta kumfahamu ukishameet nae. Miss chagga ni shori mmoja ivi mstaarabu na anapenda friends & jokes.

Huyo demu wa mleta Uzi, ni just mgema minazi tu huko Chamazi mbagala. Alafu eti ni mwalimu, uwiiiii... majangest!

Hivi walimu nao wanaingia jf? Ndio maana wanaishia kujitongozesha
 
Last edited by a moderator:
Duh! Lakini watu munabalaa! Mpaka huku munatongozana? Kwanza ni hatari kuanzisha uhusiano na mtu musiefahamiana kwa sura. Bola F1000, mtu unaweka profile yake! Lakini jf,utamjuaje? NB. Ipo siku tutajadili madume kwa madume yametongozana.
 
Back
Top Bottom