Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Kwani kutaja jina la mtu kwa kukisia ni Ku violet privacy ya mtu...? Mtoa post katufikisha mahali inabidi tuhitaji kumjua muhusika kulingana na kisa chenyewe

Na mleta ubuyu kasisitiza kwamba huyo mdada ni legendary haswa jukwaa hili la MMU
 
Well...watu wameongea sana kumshutumu huyo dada lakini tumesikia upande mmoja tu wa stori ila huyu mtoa mada ameeleza kama yeye hajawahi kutenda kosa....totally innocent..!! Kwa uzoefu wangu watu wapole na wanaojifanya wataratibu hawa wana vituko vya chinichini sana lakini mbele za watu ni wataratibu kiasi kwamba ukilalamika unaonewa utabishiwa wewe uchapwe na makofi tena ukute mtu mwenyewe ndo una makelele kama mimi ndo hakuna hata atakayekusikiliza..!

Hebu muite aje akanushe hata kimoja unadhani hauoni huu uzi tangu jana usiku kauona na anaupitia pia amejua alichokifanya au una lolote kakuhadithia may be elezea makosa aliyokuambia pia
 
pata picha umetoka kuhesabiwa umechoka hekaheka ya ubungo unalisubiri lijitu robo saa linafika gari haliwaki kutoa 15k kwa tax k7mbust kaona dili sana kufika njiani sijui wapi likazima tena...
Gadamn baadae kidogo hata hujapumua linapigiwa simu linajisekshisa habari za mtoto ambazo huzijui...
What a disappointment... Khantwe naomba uendelee hapa lol
Hahahahaaaaaaaaaa! Na huyu angepewa PAPUCHI huyuuuuuuu! Angekuja kutaja exact MEASUREMENTS in DIAMTETER, CIRCUMFERENCE, RADIUS ETC ya hio papuchi. MWANAUME GANI HANA STAHA? Puuuuuuuuuuuuuuuu!

Afu mi hata siamini! HUYO MUHUSIKA MISS (SIO MISS AS METAPHOR, MISS KABISA KASHINDA TAJI LA WILLAYA MOJA HAPA DAR, MCUTE, ANAELEWEKA) Ndo akome sasa, ma miss wenzie wanatoka na MAPEDESHEE yeye ana hangaika na AVERAGE JOE wa humu ndo faida yake hio. Navomjua yule kwa kuanzisha nyuzi mwaka huu utetezi wake utakuwa NYUZI ZISIZOPUNGUA LAKI! Hahahahaaaaaaaaa! Sio mazuri wala hayachekeshi.

Ha ha nimecheka sana lol..
Miss anakaa chamazi sijui wapi hukoo The Boss anapajua kiasi
Huyu miss atakuwa retired maana na kushika chaki juu..
Na inawezekena huyu mleta mada katunga...si wajua vivulana vya jf
 
Last edited by a moderator:
Hebu muite aje akanushe hata kimoja unadhani hauoni huu uzi tangu jana usiku kauona na anaupitia pia amejua alichokifanya au una lolote kakuhadithia may be elezea makosa aliyokuambia pia

Hapana mkuu sijasema wewe ndo umefanya makosa nimeongelea uzoefu wangu tu. Na kitendo cha yeye kukaa kimya haimaanishi kwamba yeye ndo kakubaliana na haya watu wengine hawajuagi kubishana na hata hivyo si busara mambo yenu ya chumbani kuja kujadiliana hapa
 
Huyo unaweza kuta mwanao kwenye fridge siku moja
 
Well...watu wameongea sana kumshutumu huyo dada lakini tumesikia upande mmoja tu wa stori ila huyu mtoa mada ameeleza kama yeye hajawahi kutenda kosa....totally innocent..!! Kwa uzoefu wangu watu wapole na wanaojifanya wataratibu hawa wana vituko vya chinichini sana lakini mbele za watu ni wataratibu kiasi kwamba ukilalamika unaonewa utabishiwa wewe uchapwe na makofi tena ukute mtu mwenyewe ndo una makelele kama mimi ndo hakuna hata atakayekusikiliza..!

ndio maana ukaitwa mama mchungaji, hongera sana masai dada unaweza ukatuonyesha mchele ni upi na pumba ni zipi. thanks
 
Last edited by a moderator:
im disappointed in you! Really

Mumy wala usiwe dissapointed mi nilikuwa napita zangu na nilishatoa ushauri wangu kama kawa nikaondoka zangu badaye nikawa kwenye uzi fulani nikakuta jamaa bado ana machungu yale yale nikashauri nikaondoka zangu,sasa nikarudi huku niangalie jamaa yuko vipi bado ndo nikaikuta quote fulani nikauliza mbona kama yeye lakini siyo huyo mtu ni smart ndo Khantwe akaniambia hata naye anahisi kama mimi ndo nikamjibu kwamba tuyaache tusije sutwa bure, haya mumie kosa langu hapo wapi? Kwakweli sipendi maubuyu ya humu ila waleo nimejikuta tu....
 
Last edited by a moderator:
Well...watu wameongea sana kumshutumu huyo dada lakini tumesikia upande mmoja tu wa stori ila huyu mtoa mada ameeleza kama yeye hajawahi kutenda kosa....totally innocent..!! Kwa uzoefu wangu watu wapole na wanaojifanya wataratibu hawa wana vituko vya chinichini sana lakini mbele za watu ni wataratibu kiasi kwamba ukilalamika unaonewa utabishiwa wewe uchapwe na makofi tena ukute mtu mwenyewe ndo una makelele kama mimi ndo hakuna hata atakayekusikiliza..![/QUOTE

Kwa vile mleta mada hakuficha, kasema wazi kuwa ni member wa JF na mdau wa MMU, ingekuwa vizuri naye akaja aktupa version yake.

Vinginevyo mleta mada ataendelea kuaminika.
 
Hapana mkuu sijasema wewe ndo umefanya makosa nimeongelea uzoefu wangu tu. Na kitendo cha yeye kukaa kimya haimaanishi kwamba yeye ndo kakubaliana na haya watu wengine hawajuagi kubishana na hata hivyo si busara mambo yenu ya chumbani kuja kujadiliana hapa

Haya si mambo ya chumbani kwani nini mtu analalmika kwa threads nyingi za uongo na kuonekana ni mwema

Pia this is life bhana unajua nime sacrifice nini hadi niyatende hayo ninayo amini ni upendo
Na nimesema hivyo hata wengine wajifunze na wapo waliojifunza hebu kamwambie akusimulie ukweli then uje utueleze

Huwezi kuwa kimya wakati unajua hujatenda lolote na unapewa shutuma,Hebu muite aje nadhani umemjua
 
Nimesoma sheria hizi kabla ya kuanzisha Uzi
Hebu someni sharia ya sita naongea ukweli na nina ushahidi
 

Attachments

  • 1420312151179.jpg
    1420312151179.jpg
    135.2 KB · Views: 149
Haya si mambo ya chumbani kwani nini mtu analalmika kwa threads nyingi za uongo na kuonekana ni mwema

Pia this is life bhana unajua nime sacrifice nini hadi niyatende hayo ninayo amini ni upendo
Na nimesema hivyo hata wengine wajifunze na wapo waliojifunza hebu kamwambie akusimulie ukweli then uje utueleze

Huwezi kuwa kimya wakati unajua hujatenda lolote na unapewa shutuma,Hebu muite aje nadhani umemjua

Binafsi namshauri akae kimya tu...kurumbana na wewe hapa ndani wala haiwezi kusovu chochote. Kama mnapendana bado yamalizeni huko chumbani na kama mnavunja mahusiano haina haja ya kujibishana huku
 
Chapa lapa kiongozi, usiku huo akikukatia cm alikuwa anamkatia kiungo mgegedaji..kimbia usigeuke nyuma hatari io
 
Sasa baaasi, speculations should end! tunataka mhusika ajitokeze huko aliko atupe the whole thing behind what the dude said! pengine nawe Superbrand ni dramaking mzoefu so mitego yako imedunda ndo ukaamua kumuanika mpendwa wetu hapa!
 
Last edited by a moderator:
Well...watu wameongea sana kumshutumu huyo dada lakini tumesikia upande mmoja tu wa stori ila huyu mtoa mada ameeleza kama yeye hajawahi kutenda kosa....totally innocent..!! Kwa uzoefu wangu watu wapole na wanaojifanya wataratibu hawa wana vituko vya chinichini sana lakini mbele za watu ni wataratibu kiasi kwamba ukilalamika unaonewa utabishiwa wewe uchapwe na makofi tena ukute mtu mwenyewe ndo una makelele kama mimi ndo hakuna hata atakayekusikiliza..![/QUOTE

Kwa vile mleta mada hakuficha, kasema wazi kuwa ni member wa JF na mdau wa MMU, ingekuwa vizuri naye akaja aktupa version yake.

Vinginevyo mleta mada ataendelea kuaminika.

Kuna watu wanna mjua naamini na ujumbe ana upata na sito msamehe hata kama alikuwa anajaribu hadi aje aseme nimemsingizia au la
 
Back
Top Bottom