Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Huyu demu atakuwa ana malaria imepanda kichwani, mkuu we huoni hizo indicator zake ukimbie kabisa.
 
In life we are told not to argue with a fool like Matola. Ukivuta Bangi unadhani kila mtu anavuta. Kama Masai Dada asingekuwa anahusika, basi angejongea hapa jamvini na kutuelewesha. Huoni ni upungufu wa hekima kumtetea mtu wakati mwenyewe anauwezo wa kujitetea? Matola wewe ni mtu mzima kiumli ila hujakomaa kiakili. Pole sana na sitajibizana nawe

Kwa hiyo muhusika ni masai dada??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom