Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Sometimes its better ukae kimya tu hata kama una nyongo kali.Mie naona si ustaarabu kwa hichi kinachoendelea hapa maana wakati mnatongozana na mengineyo haukutwambia why hili utuambie?Kuwa mstaarabu jamani mie naona haufanyi fair kabisaa

nini tena? ndiyo habari ya mwaka huu nini?
 
What is fair now??mbona kwa hili mnaonekana ni dhambi wangapi member wanatajwa na mnachangia tena kwa mapicha ambayo hukualikwa mtu kupiga wala kutuma au hayo yanaruhusa maalumu?

Kimsingi washauri moderators wanipige ban tu nachoka akili kabisa kuwaza nikamseme pembeni wakati hapa ndo ujumbe unafika vizuri

First sina huo mda wa kuwaambia mods wakupige ban kwa lipi hasa?Wewe si umeomba ushauri huo ndio ushauri sio fair kuendelea kuranduka hapa wakati yeye mlengwa hayupo yani huu ni udhalilishaji maana wakati mnapigiana simu na kutongozana mbona hakuja kutuambia iweje kwa hili unataka uonekane huna makosa?
 
Kwani watu wangapi huwa wanakuja hapa jf hususani katika jukwaa hili kuomba ushauri wa mambo ya ndani kabisa!!Nadhani hapa ndio mahali pake wala hajakosea!!Nadhani pia hajamtaja muhusika sie ndio tuna speculate!Sasa huwa tunachangia mambo mamngapi ya ndani kabisa ya watu na kuwapa ushauri mbona huwa hatuwajibu ivi??Au kwa kuwa inamhusu member!!Ila tu asimtaje!
 
First sina huo mda wa kuwaambia mods wakupige ban kwa lipi hasa?Wewe si umeomba ushauri huo ndio ushauri sio fair kuendelea kuranduka hapa wakati yeye mlengwa hayupo yani huu ni udhalilishaji maana wakati mnapigiana simu na kutongozana mbona hakuja kutuambia iweje kwa hili unataka uonekane huna makosa?

Kwani wanavyokuwa member wanaomba ushauri huwa wanataka kuonekana hawana makosa??

Haya nimekusikia pia asante kwa mchango wako
Karibu
 
Naamini sio walimu wote walio na tabia hii.

mwl mimi wa kwanza kwa kweli nyoko nyoko hizi za kua jf mda wote martenity mwaka mzima bila malipo namaliza hii january tuone km huo mda utakuepo kusumbua kaka wa watu halafu anakaa chamanzi huyo anafundisha mkuranga huyoo tena wa kuhamia dar ukute sio chamanzi mbandeee
 
Kwani watu wangapi huwa wanakuja hapa jf hususani katika jukwaa hili kuomba ushauri wa mambo ya ndani kabisa!!Nadhani hapa ndio mahali pake wala hajakosea!!Nadhani pia hajamtaja muhusika sie ndio tuna speculate!Sasa huwa tunachangia mambo mamngapi ya ndani kabisa ya watu na kuwapa ushauri mbona huwa hatuwajibu ivi??Au kwa kuwa inamhusu member!!Ila tu asimtaje!
ikishakuwa habar inamuhusu member wa humu inakuwa haipendez. we utajiskiaje siku ukiwa ubajadiliwa hata kama hujatajwa jina. wewe na mim tunaweza tukawa hatumfahamu lakn pengine huyo dada anafahamiana na watu wengi wa jf tu nje ya mtandaoni.
 
Sitaweza kumtafuta kwa maongezi hata kama nitampenda sana ni wengi wanaishi na wasio wapenda na maisha yanaenda

Naomba nikushauri kama kaka, baba au babu yako.

Kama hadi sasa hasira hazijaisha basi hazitaisha hata akija. Kimya chake kina maana sana na huwezijua anapanga kuja na gia ipi. But, wewe umeshamaliza sehemu yako. Huna kosa lolote kwa maelezo uliyotoa hadi sasa.

Unaweza za kuandika post yako ya mwisho au ukaamua kuishia hapa. Kapumzike na kajipange kwa mengine.

Babu DC!
 
ikishakuwa habar inamuhusu member wa humu inakuwa haipendez. we utajiskiaje siku ukiwa ubajadiliwa hata kama hujatajwa jina. wewe na mim tunaweza tukawa hatumfahamu lakn pengine huyo dada anafahamiana na watu wengi wa jf tu nje ya mtandaoni.

Upo sahihi kabisa!!Ila tu inabidi tuelewe kila mtu ana uwezo wake wa kuzimudu hisia zake akitendwa,nadhani mtoa mada aliona hapa aje kutua jaka lake la moyo ili iwe mahali pa ushauri!!Kakosea ila sio sawa kumjibu vibaya,pia huyo mwenzetu kakosea pia!!Ningekua mie nisingefurahi,hata mtoa mada najua saa hizi hajafurahia pia!!
 
First sina huo mda wa kuwaambia mods wakupige ban kwa lipi hasa?Wewe si umeomba ushauri huo ndio ushauri sio fair kuendelea kuranduka hapa wakati yeye mlengwa hayupo yani huu ni udhalilishaji maana wakati mnapigiana simu na kutongozana mbona hakuja kutuambia iweje kwa hili unataka uonekane huna makosa?

unanipa wasiwasi aisee..
 
Lipo kwenye kuvua samaki wachanga na kuacha waliokomaaa.... Shy land umeelewa sasa.uwe makini na wewe kutongoza watoto kuacha tunaopenda hela na wakubwa

miss chagga nimekuelewa lakn mimi kwa upende wangu wakinamama wa jf ni kwa ajili ya kugegeda tu, na siyo kuoa na huyu jamaa ageomba mgegedo mapema leo sijui kama agekuwa analalamika
 
Last edited by a moderator:
Nimekuja kukuambia Superbrand usijali nakupa pole kesho karibu ofisini kwangu natoa cancelling na ushauri kwa gharama kidogo ila wewe nitakufanyia bure nimeongea nae aliyekutenda kaniomba nikufuate na nikuombe Radhi hakujua uta umia kiasi hicho very sad
Kwa sasa pumzika il a kunywa maji mengi
Nitafute 0787047339
 
Last edited by a moderator:
miss chagga nimekuelewa lakn mimi kwa upende wangu wakinamama wa jf ni kwa ajili ya kugegeda tu, na siyo kuoa na huyu jamaa ageomba mgegedo mapema leo sijui kama agekuwa analalamika

Too much generalisation hadi yule mlokole wako.. pouwa .. wanaume wote jf ni.kwa ajili ya starehe hakuna.husband na wengi chips mayai uhuuuuuuu raha ya chumvi kuonja si kubugia
 
Last edited by a moderator:
Kwani wanavyokuwa member wanaomba ushauri huwa wanataka kuonekana hawana makosa??

Haya nimekusikia pia asante kwa mchango wako
Karibu

Tatizo hautaki kupokea ushauri ulio nje ya mawazo yako.Unataka nianze kukwambia "oooh jamani pole huyo mdada hafai na bora umpotezee" ila siwezi fanya hivyo maana sijajua yeye yalimsibu yapi

Na hapa ni ngumu kujua nani mwenye makosa maana toka uanzishe thread wewe umekua msemaji mkuu sasa hapo si ajabu unajipendelea upande wako
 
Back
Top Bottom