Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

mkuu, hakuna mwanamke hapo. piga chini gume-gume hilo lisilojitambua. na kama alikuwa anatikisa kiberiti ili aone umezimikaje kwake, basi maliza kabisa na funga ukurasa! Umeliheshimu na kuchoma mafuta yako all the way from Ubungo to Mbagala, limeona lishafika mbagala alafu ndo linajifanya kususa na kushuka??!! si ajabu halijasema ata 'AHSANTE' kwa lift.

Demu anakuwa mkali/mkorofi kiasi hicho just at the FIRST DATE??!! puuuuuuuuh. huyo ndo maana kaishia kuzalishwa na kutelekezwa tu. Mwanaume gani anaejitambua aoe jike lenye akili-mibange kama hilo?

mademu wenye kupretend 'mapozi-mbuzi' kama huyo ndo huwa na-DELETE fastaaaa kwenye memory yangu, tena na-format kabisa.

Mkuu, pole kwa mkosi huo ambao naamini umekuharibia jioni yako ya leo. Plus ungekutana na 'Panya Road' wa Kova, ndo kabisaaa ungezimia na roho yako. Endelea kutafuta mke, wewe ni 'SUPER BRAND' bhana, Mungu akujaalie upate mke ambae ni super-branded as well.

-Kaveli-

Kaveli umenikosha sana, piga chini huyo, utapata mwingine na utasahau yaliyopita
 
interesting.......kumbe mbagala chamazi pia kuna a sister du wa kuomba kushushwa kwenye gari njiani?
halafu akaenda kugombania daladala?

this is news to me.........

yaani wadada wa kibongo kwa kuiga movie za Hollywood hadi wanajiumiza

yaani unaelekea Chamazi eti umekairika ushushwe njiani?

mimi ngingemshusha fast na wala nisingmpigia tena....

huyo sister du wa mbagala keshakusoma weakness zako so anakutingisha tu hadi mwisho akwambie mwanao simtaki alelewe na mama yake......ignore her haraka

Ha ha ha THE BOSS Mbagala masister du wapo ila huyu mbu.lu.la ,halafu matitu na chamaz sio mbali ndio maana akajishaua
 
Kaveli umenena hahahaaaa sisi wanawake sisi bwana ni changamoto jaman looo...... . MO11 kuna mistari inasema " kimbia faster toka nduki we kimbia ukianguka ukiumia inuka vumilia" sijui aliimba nani
 
Last edited by a moderator:
Kaveli umenikosha sana, piga chini huyo, utapata mwingine na utasahau yaliyopita

yani dada Nuru acha tu. kuna mademu wengine ni mambulula sana. nimesoma huo mkasa mpaka nikatamani ningekuwa mimi, ninge-return back nyodo ambazo ni 'advanced' hadi angejiona choo cha shimo. Huyo jamaa anaonekana ni innocent sana aisee. Mleta uzi bora angekutana na 'Panya Road' wa Kova, na sio huyo demu mwenye expiry date tayari.
 
Kaveli umenena hahahaaaa sisi wanawake sisi bwana ni changamoto jaman looo...... . MO11 kuna mistari inasema " kimbia faster toka nduki we kimbia ukianguka ukiumia inuka vumilia" sijui aliimba nani

Dada Manka, kwakweli kuna 'majike' ni pasua kichwa sana. Mleta uzi anasound ni innocent sana aisee, yani bora angekutana na 'Panya Road' wa Kova kuliko kumeet na huyo muuza ubuyu wa Chamazi. W.T.F!!!

Huo wimbo waliimba KING'OKO (akina Langa, Babuu wa Kitaa, n.k)
 
Huyo ni mwongo,mwizi na tapeli wa mapenzi better umteme coz mabinti wapo wa kibongo na wakimbelembele wanao jua kupenda na kajali.
 
Yani nimekasirika utafkir mi ndo Superbrand ! Nimekua mhanga wa wanawake pasua kichwa and so when I see a bitch traumatizing a bro...

afu unakuta limwanamke la hvo bdae linatoa toa mimacho 'oh I'm lukin for my MR Right'! Na utatoa hadi ufe u alrdy cursed yourself!
 
Last edited by a moderator:
Kama upo kimalengo hapo hapafai hata kidogo.
Huyo sio mwanamke wa kuoa mana utakuwa unajichimbia kaburi, achana naye tu.
 
Yani nimekasirika utafkir mi ndo Superbrand ! Nimekua mhanga wa wanawake pasua kichwa and so when I see a bitch traumatizing a bro...

afu unakuta limwanamke la hvo bdae linatoa toa mimacho 'oh I'm lukin for my MR Right'! Na utatoa hadi ufe u alrdy cursed yourself!

Probably she's mentally unstable! Who knows for sure? Unaweza kuwa na matatizo ya akili/kisaikolojia usijue mkuu.
 
Last edited by a moderator:
interesting.......kumbe mbagala chamazi pia kuna a sister du wa kuomba kushushwa kwenye gari njiani?
halafu akaenda kugombania daladala?

this is news to me.........

yaani wadada wa kibongo kwa kuiga movie za Hollywood hadi wanajiumiza

yaani unaelekea Chamazi eti umekairika ushushwe njiani?

mimi ngingemshusha fast na wala nisingmpigia tena....

huyo sister du wa mbagala keshakusoma weakness zako so anakutingisha tu hadi mwisho akwambie mwanao simtaki alelewe na mama yake......ignore her haraka

Ha ha ha THE BOSS Mbagala masister du wapo ila huyu mbu.lu.la ,halafu matitu na chamaz sio mbali ndio maana akajishaua

siku hizi Darisalama, masista-duu wapo kila sehemu. Ila huyu yeye anaonekana ni 'sista-duu maji taka'
 
  1. Ingawa alikupima kwa kukuambia ana mtoto kwenye mangezi yenu kabla hata ya kuonana ulipaswa na wewe kuzungumzia swala lako la kuwa na mtoto. lakini hukufanya hivyo ulikuja kumuelezea siku ya kuonana tena baada ya kuulizwa, hilo ni kosa.
  2. Kuwa na mtoto ni jambo la kawaida sana, ila kuonesha mahusiano/mawasiliano ya wazi kwenye husiano mpya uliyouanzisha, hilo ni kosa.
  3. Siku za usoni anza kuwa wewe muwazi na maisha yako, ili mtu ajua anaingia katika mahusiano ya namna gani.
  4. Kitendo cha kuombwa kushushwa ghalfa ni kawaida kwa watoto wa kike kususa susa ovyo.
  5. Ila kitendo cha kuku zuia ghalfa kwenye whatsapp, massage hajibu, simu hapokei hiyo ni ishara ya kwamba alikuwa/ana mtu wake tayari, kwa hiyo kuwa makini usije ukatumiwa.
 
Kama upo kimalengo hapo hapafai hata kidogo.
Huyo sio mwanamke wa kuoa mana utakuwa unajichimbia kaburi, achana naye tu.

au kwa vile ni 'kivuli' wa kwenye JF eeh? as per your kauli-mbiu ileeee ya vivuli. teh teh teh
 
Umejitahidi kuvumulia na kujituma. Kumbuka watu wengi wa humu wana fake kila kitu usije ukadhani anachozungumza mtu ndo anatenda.. Ulitaka kurahisisha mambo ila ukakutana na fake haswa ila humu ndani povu linamtokaga. Angalia sahivi anachungulia tu huu uzi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Dada Manka, kwakweli kuna 'majike' ni pasua kichwa sana. Mleta uzi anasound ni innocent sana aisee, yani bora angekutana na 'Panya Road' wa Kova kuliko kumeet na huyo muuza ubuyu wa Chamazi. W.T.F!!!

Huo wimbo waliimba KING'OKO (akina Langa, Babuu wa Kitaa, n.k)

Hahahahaaaa mkuu tuvumilieni jaman looo hii ni shida sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom