Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,441
- 38,417
hahaha na wewe unavisa au ni wii
Mii mpole! Your Wii sasa!
hahaha na wewe unavisa au ni wii
Mii mpole! Your Wii sasa!
hapo inabidi uzidishe upole akipanda we shuka
hapo inabidi uzidishe upole akipanda we shuka
Kosa lako lilikuwa ni kucheza ngoma aliyokuwa akikupigia.
Kwa nini ulikwenda kumpokea wakati alikuwa tayari kaanza manyoka nyoka? Alipokuambia kwa kusisitiza umshushe, kwa nini hukumrudisha pale ulipompandishia? Alipokuambia anakupima, kwa nini hukumuomba majibu ya vipimo vyake? Siku nyingine mwanamke akitikisa kiberiti chako hakikisha anakikuta kimejaa. Huo ndiyo uanaume.
Nimekumic pls come
Ndio formula ya maisha
Sijaona tatizo hapo maana alisha kwambia alikuwa ana kupima!
Hii story ungeweza kuileza bila kusema muhusika ni mwana Jf!
happy new year
Nimeamua kumtaja kwani naamini sio kosa kabisa kwani kuna viongozi wengu hutajwa huku watu wa heshima kabisa na wanawekwa hadi picha zao
Mfano Mh zitto,Dr Slaa,Raisi pia wanaongelewa kwa kashfa mbalimbali na watoa mada hawafanywi chochote
Watu wanatoa hadi siri za nchi na hawafanywi chochote Mimi nikimtaja tu ndo iwe kosa aaah wapi nasema waziwazi
Wanaotaka wamjue waniunge mkono nami nitasema si punde nikipata support ya member kumi nasema jina lake kila member amjue ili ajirekebishe
You will gain nothing. Zaidi zaidi utaambulia ban tu
You will gain nothing. Zaidi zaidi utaambulia ban tu