Huyo Lazima Atakuwa Misschagga Au tinnacute hawa mabinti wakorofi sana!
Umejuaje? Au unanisema? Hahaha dudu morning mpwa
Superbrand bhana usimuache ila mpe muda kidogo, mwache kidogo atarudi faster usionyeshe hasira.
Nasikia sheria za Jf haziruhusu ningeku pm na kumtaja kabisa Omba ruhusa kwa Moderator na kanambia ana juana nao pia naogopa Ban Mkuu
Nasikia sheria za Jf haziruhusu ningeku pm na kumtaja kabisa Omba ruhusa kwa Moderator na kanambia ana juana nao pia naogopa Ban Mkuu
Panya road ni nn jamani nasikia tu sielewi?? ......
mmmh pole ndo inavyokuwaga mwanaume mpole lazima akutane na mwanamke mwenye visa na mikasa and viceversa
Umeamua kunisema!
Mkuu ebu muanike tu. Ukimuanika utakuwa umesaidia sana wote wanaotafuta mke umu waukwepe huo mkosi. Mkuu huyo demu akili za antenna amekutia nuksi kubwa, advisably wahi mapema ukaoge maji ya bahari.
mi nishaomba ruhusa ni pm lol huyo dada anakutisha tu
Ni mshauri mzuri wa mambo ya mahusiano ktk jukwaa hili majukwaa mengine ni Mara chache
nitajie herufi ya mwisho ya id yake basi
Mmmmh ni kweli hujamjua na siamini kama hajakuadithia pia "a"
Seriously!!!?
sijamjua bado na herufi ya kwanza je
kuhadithia anaanzaje urafiki wa humu unaishia kwenye comment