asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Aibu tunaona sisi ndugu yangu
Mhusika kwenye sredi nyingine anachangia kama kawaida
Nahisi mshipa wa aibu umemlegea dadadeki.
Sasa nyie inawahusu nini wakuu?kiukweli masai dada hatutendei haki, aje hapa akanushe au apinge , mbona miss chagga amekuja ku clear doubts.
Mwacheni mtu na maisha yake binafsi, siyo poa kushadadia