impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
Nataka kujilinda juzi nimesumbuliwa na vibaka usikuunataka ujiyoe muhanga? kama sababu ndio hiyo sema nikuoneshe wapi utaipata chap
Nataka kujilinda juzi nimesumbuliwa na vibaka usikuunataka ujiyoe muhanga? kama sababu ndio hiyo sema nikuoneshe wapi utaipata chap
Nataka kumiliki kihalali staki ujanja ujanjaBastora nenda south tu ziko nyomi kwa wauni
Nataka pistolhamia south ndo mambo yao... hapa kwetu silaha panga ma mawe
Nataka kujilinda juzi nimesumbuliwa na vibaka usiku
kama ni hivyo basiNataka kujilinda juzi nimesumbuliwa na vibaka usiku
Nina uhitaji nayo nitanunua then nianze procedure za umilikiKuna uzi upo humu unaonyesha process zote za kumiliki silaha.. Kama utafuata sheria kupata hiyo silaha mlolongo wake ni mrefu kiasi kwamba utaishia njiani na kula kona na kwenda kufanya mishe nyingine
Unaweza kumuuzia mtu umiliki inakuwaje?Mi nnayo SIG sauyerundefinedundefineduna hela ngapi nikuuzie?
Kama inawwzekana kubadili umiliki tufanye biasharaMi nnayo SIG sauyerundefinedundefineduna hela ngapi nikuuzie?
Rafiki MamboUnaitumia kwa shughuli gani?
Una akil timamu?Naomba mwenye ufahamu vigezo jin
umiliki silaha maduka yanayouza Bei na Aina ya silaha nzuri Bastoral inayobebeka kirahisi na ya kisasa walau risasi 15
Aisee pole..nipe kazi yakukulindaRafiki Mambo
Ya kujilinda juzi nimesumbuliwa na vibaka Kama siyo karate wangeninyanganya simu na gari wangenyofoa vitu
Mkuu hata kwa uandishi huu wa kiungwana huoni Mimi Nina akili timamuUna akil timamu?
Mmmmmmmm,Aisee pole..nipe kazi yakukulinda
"SIG sauyerundefinedundefined" hiyo ni silaha ya wapi boss?Mi nnayo SIG sauyerundefinedundefineduna hela ngapi nikuuzie?