SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Ina maana hata kumiliki gobore unatakiwa kufuata mlolongo huo?
Hakika... Maana nayo ni bunduki pia.Ina maana hata kumiliki gobore unatakiwa kufuata mlolongo huo?
Nchi zote ambazo wanauza silaha kama simu kuna adabu na watawala pia wana adabu mfano tu zambia kwa afrika. Serikali ikileta timbwili mtaani kila mtu ana mguu wa kuku hadi sub machine gun smg.Wangeuza kama simu heshima ingekuwepo.
Katika mambo ya maana ambayo umejitahidi kuuliza humu jf basi hili linaongoza , kujilinda ni haki ya kikatiba , sijui wabongo ni masikini au hawajui tu , kwa maelezo zaidi nipigie simu .Za asubuhi wanaJF. N siku nyingine tena mapambano yanaendelea. Tunapambana.
Nataka kumiliki bastola kisheria kwa ajili ya ulinzi binafsi kutokana na nature ya shughuli yangu.
1. Je, taratibu zake zikoje?
2. Gharama za kununua bastola zikoje?
3. Ipi bastola nzuri?
4. Kuilipia kwa mwaka ni TZS ngapi?
5. Mchakato mpaka unaimiliki unachukua muda gani?
6.Criteria au vigezo vya kuimiliki vikoje?
Naombeni mawazo yenu wakuu.
Asanteni.
Andika barua kwa mkuu wa wilaya yako ukimweleza kusudio/ombi la kutaka kumiliki Silaha ya Moto, kwenye barua hiyo umCC Mwenyekiti Seikali ya mtaa wako na afisa mtendaji wa kata yako, Utaratibu Utajadiliwa na kamati ya ulinzi ya mtaa,Kata na ya wilaya, ukikidhi vigezo unapewa kibali cha kwenda kununua silaha *angalizo* Usianze kwenda kununua kabla ya kibali wanaweza kupokea pesa na wakakupa risiti badala ya silaha na maelekezo kashughulikie KIBALIHabarini wana JF,
Nahitaji sana kumiliki silaha kwa ajili ya ulinzi binafsi, iwe Bastola au hata SMG.
Sina ufahamu wa kutosha njia the rahisi au fupi ya kuomba(kihalali) na kumiliki silaha hiyo. Ninachofahamu tu kuna maduka ya silaha hizi na kuna urasimu mwingi hadi kuruhusiwa umiliki wa silaha hizi.
Naomba wenye ufahamu, mnisaidie humu namna nyepesi ili kufanikisha umiliki huo.
Ahsanteni, nawakilisha.
Andika barua kwa mkuu wa wilaya yako ukimweleza kusudio/ombi la kutaka kumiliki Silaha ya Moto, kwenye barua hiyo umCC Mwenyekiti Seikali ya mtaa wako na afisa mtendaji wa kata yako, Utaratibu Utajadiliwa na kamati ya ulinzi ya mtaa,Kata na ya wilaya, ukikidhi vigezo unapewa kibali cha kwenda kununua silaha *angalizo* Usianze kwenda kununua kabla ya kibali wanaweza kupokea pesa na wakakupa risiti badala ya silaha na maelekezo kashughulikie KIBALIHabarini wana JF,
Nahitaji sana kumiliki silaha kwa ajili ya ulinzi binafsi, iwe Bastola au hata SMG.
Sina ufahamu wa kutosha njia the rahisi au fupi ya kuomba(kihalali) na kumiliki silaha hiyo. Ninachofahamu tu kuna maduka ya silaha hizi na kuna urasimu mwingi hadi kuruhusiwa umiliki wa silaha hizi.
Naomba wenye ufahamu, mnisaidie humu namna nyepesi ili kufanikisha umiliki huo.
Ahsanteni, nawakilisha.
Bastora nenda south tu ziko nyomi kwa wauniNaomba mwenye ufahamu vigezo jin
umiliki silaha maduka yanayouza Bei na Aina ya silaha nzuri Bastoral inayobebeka kirahisi na ya kisasa walau risasi 15
Pistol nimekosea chiefKigezo cha kwanza ni kujua kuandika kwa ufasaha.
Bastoral ndo nini?
Ufahamu wa kusoma na kuandika kwa kiasi ninaoKigezo cha kwanza ni kujua kuandika kwa ufasaha.
Bastoral ndo nini?