Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Tumia ID yako nitakujibu
Did you ask, why sikupokea simu? Ulipoomba ile pesa nilikwambia usubiri baada ya muda gani? Do you know nilikuwa nipo wapi na kwa situation gani? I admit you called several times, and i missed your calls, but ukatuma message ambazo hakuna mwanaume atakayeweza kuzivumilia. But nikaamua kunyanyua simu kupiga tena. Sijaanza hata kuongea kuelezea scenario nzima ukaanza kunishushia mvua ya maneno ya kejeli ambayo tangu nizaliwe hahahaaaaa it was my first time. Nilibaki kustaajabu tu haki ya mungu, nilibaki kimya as usual nikuache utawale jukwaa.
 
Mzee Tuliagizwa wasio na tumaini tuwajaze mapendo.
Walio na njaa tuwape mikate
Na walio na sononeko la nafsi tuwape nafasi ndani ya mioyo yetu bwana.

Cc Asprin kwa uthibitisho zaidi.
Hahahahahahaa😵😵😵
 
Una uhakika????? Hivi wewe unaelewa maana ya kupata tatizo na ukawa mbali mtu anashindwa kukusaidia.......kama nitakimbiwa na kitu kama hicho acha tu wakimbie.....i don't fu.... care
Watu wana machungu na makovu ya kung'atwa na majoka hivyo akiona tu jani likitikisika anajua ndio huyo!Mbioooooooooo!
 
Did you ask, why sikupokea simu? Ulipoomba ile pesa nilikwambia usubiri baada ya muda gani? Do you know nilikuwa nipo wapi na kwa situation gani? I admit you called several times, and i missed your calls, but ukatuma message ambazo hakuna mwanaume atakayeweza kuzivumilia. But nikaamua kunyanyua simu kupiga tena. Sijaanza hata kuongea kuelezea scenario nzima ukaanza kunishushia mvua ya maneno ya kejeli ambayo tangu nizaliwe hahahaaaaa it was my first time. Nilibaki kustaajabu tu haki ya mungu, nilibaki kimya as usual nikuache utawale jukwaa.
Hivi ulisoma message kweli wewe mwanaume????? Sitaki kuongelea hayo nimepost ili nijue tabia ya wanaume kama yako......na haukuwa serious wewe.......
 
Umejuaje!sasa jamaa kajitokeza live!Sasa hii case imekuwa rahisi mawakili kujitokeza!
Hahaha...yeah kajitokeza soma texts za juu.
fa211929fb86ae31cf2f8005de00d0af.gif
 
Did you ask, why sikupokea simu? Ulipoomba ile pesa nilikwambia usubiri baada ya muda gani? Do you know nilikuwa nipo wapi na kwa situation gani? I admit you called several times, and i missed your calls, but ukatuma message ambazo hakuna mwanaume atakayeweza kuzivumilia. But nikaamua kunyanyua simu kupiga tena. Sijaanza hata kuongea kuelezea scenario nzima ukaanza kunishushia mvua ya maneno ya kejeli ambayo tangu nizaliwe hahahaaaaa it was my first time. Nilibaki kustaajabu tu haki ya mungu, nilibaki kimya as usual nikuache utawale jukwaa.
Mkuu samahani,kwa kupost hoja ambazo shem hajazipenda.Nlikuwa najaribu kutafuta mazingira yaliyosababisha alete hii hoja humu,ila nashukuru umejitokeza kuokoa hili jahazi!
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Mmetufundisha ili tuwe hivi tulivyo,halaf unasahau ukipata mwanaume mbahili lazima mtapata maendeleo
 
Hope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua
Yaan hata ningelikuwa Mimi lazima ningekustukia tu,huwezi niomba hela kizembe tu halafu nikupe ,tena ukute hata hatujawahi kumeet hata siku moja Loh!

Muwe mnatumia akili zaidi ktk issue yyte ihusuyo pesa.
 
Mnapenda hela utadhani mmezaliwa Bot
Ongezea kama Wallet.

Pesa tamu babulai. Hakuna asiyependa pesa tena ya kuomba tamu kinoma.

Nakumbuka shule nilikuwa nikipungukiwa tu natuma text. Mzee huku hali mbaya. Mkwanja huo unakuja. Hapo break ya kwanza ni kwa amina mtoto wa mlinzi kula cake.


Pesa tamu.
 
Hivi ulisoma message kweli wewe mwanaume????? Sitaki kuongelea hayo nimepost ili nijue tabia ya wanaume kama yako......na haukuwa serious wewe.......
Nilisoma my opener(her nickname🙂🙂), tatizo hujabalance story sweetpie, najaribu kuweka usawa japo kiduchu tu. Dating ya mwezi mmoja haikutosha mimi kuona userious wako ama wewe kuuona wa kwangu. i did what it takes, kujaribu kupeleka gurudumu but ile ya jana was too much. Nilifumba macho na masikio na kukataa kusikia la mtu. I wanted to prove it by myself na kama kulikuwa na kosa nilitaka nirekebishe.Wewe ndio shahidi wa hilo coz hata nilipoamua kusitisha mawasiliano kwa mara ya kwanza, nilirudi tena. Nikiwa na tumaini jipya. That is the only thing which can prove my seriousness sweetpie🙂🙂🙂🙂🙂
 
Did you ask, why sikupokea simu? Ulipoomba ile pesa nilikwambia usubiri baada ya muda gani? Do you know nilikuwa nipo wapi na kwa situation gani? I admit you called several times, and i missed your calls, but ukatuma message ambazo hakuna mwanaume atakayeweza kuzivumilia. But nikaamua kunyanyua simu kupiga tena. Sijaanza hata kuongea kuelezea scenario nzima ukaanza kunishushia mvua ya maneno ya kejeli ambayo tangu nizaliwe hahahaaaaa it was my first time. Nilibaki kustaajabu tu haki ya mungu, nilibaki kimya as usual nikuache utawale jukwaa.

Kumbe mtuhumiwa upo huku!!
 
Mkuu samahani,kwa kupost hoja ambazo shem hajazipenda.Nlikuwa najaribu kutafuta mazingira yaliyosababisha alete hii hoja humu,ila nashukuru umejitokeza kuokoa hili jahazi!
Hahahahaaaa najaribu tu kubalance stori kiongozi, ili wote tufikie tamati nzuri
 
Ongezea kama Wallet.

Pesa tamu babulai. Hakuna asiyependa pesa tena ya kuomba tamu kinoma.

Nakumbuka shule nilikuwa nikipungukiwa tu natuma text. Mzee huku hali mbaya. Mkwanja huo unakuja. Hapo break ya kwanza ni kwa amina mtoto wa mlinzi kula cake.


Pesa tamu.
Teh kumbe ulifaidi keki ya Amina.

Wengine tulishia miandazi tuu
 
Back
Top Bottom