Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Hela ni ndogo mno niliyomuomba ila nilimshangaa sana.......uwa sipendi kuomba hela kwa mwanaume ila nilijikuta nimemuomba kutokana na situation niliyokuwa nayo
Ndo maana nimeelezea hapo juu umeona comment yangu watu wameishikia bango hivi mpz asipokusaidia nani tena wa kukusaidia?
 
We mwenyewe ulikua na yako na wala si kwamba haukuwa mahali rafiki kutuma hela!Sema tu na wewe ulikuwa na dhamira gani ili tujudge both sides!
Unajua nilikuwa wapi au unaongea tu
 
Nilikuwa mbali na sehemu ya kuweka hela na uwa sina tabia ya kuomba hela......
Mlipokuwa mnakutania inachukua siku ngapi?

BTW, huyo ni binadamu kama ulivyo anaweza kuwa amepatwa na tatizo, hana pesa, ni mbinafsi, ni mchoyo, hakupendi alitaka papuchi, ni mtu anayeheshimu ratiba zake na mengine mengi.

Hapa tuna speculate tu ila ndiye mwenye Jibu.
 
Mlipokuwa mnakutania inachukua siku ngapi?

BTW, huyo ni binadamu kama ulivyo anaweza kuwa amepatwa na tatizo, hana pesa, ni mbinafsi, ni mchoyo, hakupendi alitaka papuchi, ni mtu anayeheshimu ratiba zake na mengine mengi.

Hapa tuna speculate tu ila ndiye mwenye Jibu.
Aiseee ile ni kafanya makusudi kabisa mi namjua sema angepokea tu maana hiyo hela nilikuwa nimeshaituma
 
Aiseee ile ni kafanya makusudi kabisa mi namjua sema angepokea tu maana hiyo hela nilikuwa nimeshaituma
Kumbe bado unampenda licha ya kutokupokelea simu.

Tumia njia zingine kumpata uongee naye yaishe
 
Kumbe bado unampenda licha ya kutokupokelea simu.

Tumia njia zingine kumpata uongee naye yaishe
Hahahahaaaaaa kumpenda hapana na sina muda huo wa kumpigia simu.......nimeshafunga kitabu
 
Hahahahaaaaaa kumpenda hapana na sina muda huo wa kumpigia simu.......nimeshafunga kitabu
Kwa unataka kuniambia jimbo lipo huru?

Naomba ukitoa form uniweke fent font nifanye application na mimi....
 
Even me yaani tunaratiba harafu wewe unachomekea hyo ishu mmmh najua hapo mda c mrefu nachezewa rafu 2 maan huchelewi kusema umepata dharula baada ya kupata pesa.
 
Unajua sometimes ni vizuri kuhoji kuliko kutuhumu mtu kwa suala usilokuwa na uhakika nalo especially unapoliongelea kwa hadhira kama hii ilhali muhusika anaona jumbe zako
 
Nakusikitikia kwani utakuwa unakimbiwa tu kama utaendelea hivyo!!!!!!!!!!!!
Una uhakika????? Hivi wewe unaelewa maana ya kupata tatizo na ukawa mbali mtu anashindwa kukusaidia.......kama nitakimbiwa na kitu kama hicho acha tu wakimbie.....i don't fu.... care
 
Unajua sometimes ni vizuri kuhoji kuliko kutuhumu mtu kwa suala usilokuwa na uhakika nalo especially unapoliongelea kwa hadhira kama hii ilhali muhusika anaona jumbe zako
Jamaa kumbe yupo humu jukwaani?
 
Maisha yenyewe magumu haya , hivyo sio jambo la ajabu hilo.

Kama una shida jitahidi kutanguliza ombi mapema mana hiyo ghafla ghafla inabidi utegemee hayo aisee.

Pia jizoweshe kuwa na akiba yako kwa ajili ya kuwapa watu kama hao.
 
Emergency kama hizo hazipokeleki

Dreams never end by fear
 
Maisha yenyewe magumu haya , hivyo sio jambo la ajabu hilo.

Kama una shida jitahidi kutanguliza ombi mapema mana hiyo ghafla ghafla inabidi utegemee hayo aisee.

Pia jizoweshe kuwa na akiba yako kwa ajili ya kuwapa watu kama hao.
Sio kama sikuwa na hela sema nilikuwa mbali na sehemu ya kutuma so nikaomba anisaidie na akakubali kabisa........kitu kilichonifanya nimind ni kutopokea simu na muda huo nilikuwa nimeshatoka nilipokuwa na hela nilishatuma.....why afanye vile au alimaanisha nini???
 
Back
Top Bottom