miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Ha ha ha mbon sms ya kawaida hijapita kuleOngea polepole asije akasikia...
Tayari nimesha kutumia gawio tafadhali....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ha ha ha mbon sms ya kawaida hijapita kuleOngea polepole asije akasikia...
Tayari nimesha kutumia gawio tafadhali....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Skuizi napatikana kwa jina la love....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Ha ha ha mbon sms ya kawaida hijapita kule
Kaka ujue kesho siku ya kazi!!! Hebu ilete mapema.Hehe hiyo hadi watoto walale dada
brain is the beautiful part of the body.
Mjomba magufuri katoa ofa ya sabasaba dada akeKaka ujue kesho siku ya kazi!!! Hebu ilete mapema.
Ha ha limekuja hivyo ila pesa haitoki embu tuma tenaSkuizi napatikana kwa jina la love....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Angalia kama sijakutumia kwenye sms
Naomba niongeze kesho love... Maana hapa tayari nimetoka kulipia ushuru wa vogue ilio ingia juzi bandarani kabla ya ile siku nilipo pata ajali ya kupaliwa na pizza na kulazwa Apollo London....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ha ha limekuja hivyo ila pesa haitoki embu tuma tena
We nitakupongeza ulishatumaNaomba niongeze kesho love... Maana hapa tayari nimetoka kulipia ushuru wa vogue ilio ingia juzi bandarani kabla ya ile siku nilipo pata ajali ya kupaliwa na pizza na kulazwa Apollo London....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Tayari, ila usimwambie mtuWe nitakupongeza ulishatuma
Hapa hamna part two [emoji111]Kwahiyo part two saa ngapi?
Mmezidi. Tafuta zako uepuke kudhalilika, kwani pesa duniani zipo ili wawe nazo wanaume tu? Nyie si ndio kila siku mnataka haki sawa na mnajiita malkia wa nguvu? Malkia haombi ombi.Hope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua
Tumeshakusamehe ila espy anataka part two [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mnisamehe jamani.
brain is the beautiful part of the body.
Hongera mpenziTayari, ila usimwambie mtu
Tena mubashara kabisa...[emoji39] [emoji39] [emoji39]Hongera mpenzi
Hii part two inaweza ikazaa ngumi mama[emoji3][emoji3][emoji125] [emoji125] [emoji125]Tumeshakusamehe ila espy anataka part two [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
Kama unampenda kampe tu gegedo lkini usitegemee chochote kutoka kwake pole sanaHope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua
Sio kihivyo bhanaa kuna dharula ya msingi inatoka kwani ni ni za nini hizo pesaHakuna mwanaume anayependa kuombwa hela
Si mtetei ila kuna umri sio kilakitu waombe kwa wazaziKwanini umuombe yeye na siyo wazazi wako?
Kama sijamuelewa vizuri huyo ni boy wake na imemtokea dharula huko aliko.ni kosa kumpa kampanyHata mimi lazima nijiulize mara tatu tatu.
Wewe unakuja kukutana na mimi. Sasa kwanini uniombe nikurushie pesa na wakati ukija ukaniomba face to face ndiyo rahisi?
Au kuna umbali wa kulala? Pia nitajua unaniomba pesa ili ujue mimi ni mtoaji au sio mtoaji! Na nisipokutumia ndiyo hauji.