Aisee!Kumbe wewe ndio umeanzishiwa mada!! Sasa mbona kumjibu ulikuja kwa id nyingine? Si ungemjibu kwa hii hii?
[emoji113][emoji113]
brain is the beautiful part of the body.
Aisee!Kumbe wewe ndio umeanzishiwa mada!! Sasa mbona kumjibu ulikuja kwa id nyingine? Si ungemjibu kwa hii hii?
wifiyo amekusikia mkuuBasi sawa shemeji yetu, mjitahidi kuwa mnamaliza tofauti zenu wenyewe pasipo kuyaleta hadharani maana sio wote watakao waonea huruma.
Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
Marioo wasabahi huko uendako.[emoji111]Aisee!
Nahisi umetoka kwenye uhalisia wa majadiliano na unaelekea kwenye lugha ambayo si sahihi.
Naomba niishie hapo dada angu, mimi battle sio umri wangu.
brain is the beautiful part of the body.
Aisee!
[emoji113][emoji113]
brain is the beautiful part of the body.
Shukrani dada!Marioo wasabahi huko uendako.[emoji111]
Hehe mimi nafanya jokes cha ajabu mwenzangu kanibadilishia mwandiko.Haya espy na daudi muache kulumbana
Wapenzi washapatana wanapanga mipango mingine sasa
Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]Mimi sipendi kabisa mwanamke aniombe pesa.naijisikia raha sana nikitoa bila kuombwa. Yaani ukiniomba naona kama unataka tufanye biashara fulani hivi. Am sorry girls kama hamtopendezwa na tabia yangu.
Acha uchoyoUniombe hela, kwani mimi ni baba yako....[emoji34] [emoji34]
Yaani uniombe hela, utadhani wewe ni mke wangu....[emoji51] [emoji51]
Hata kama ni shida, ebu acha kusingizia mambo ya umbali wa money transactions...[emoji45] [emoji45]
Kwani hilo tatizo la hela, limekuja ghafla kama kimbunga.....[emoji15] [emoji15]
Ebu acha mambo yako bhana.....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
hizo ndo zetu tunapenda wenyewe tutoe bila kuambiwa,uliza sasa kivipi?Ni mapenzi yale ambayo utamuonesha mpenzi wako kiasi kwamba mwanaume mwenyewe akajua kwamba hapa ninapendwa kwa dhati,ndio unakuta tunafunguka,kumnunulia gari,kumjengea nyumba,na vitu vingine vya thamani ili nae mwanaume kumuonesha pia anampenda.sio kushoboka tu,ukute mahusiano yenyewe yana mwezi tu utasikia,Baby nitumie laki mbili tu nataka nikasuke nywele'""hapo hakuna mapenzi ni wizi mtupu.Kama hampendi kuombwa basi toeni tu kabla ya kuombwa.
[emoji3][emoji3][emoji3]mnisamehe jamani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa ni daudi
Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
Wewe nitakupa, lakini sio yule....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha uchoyo
Usikurupuke, usome comments uelewe kwanza!!Mchoyo
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Samahani aby nimekukoti kwani mkuu?Usikurupuke, usome comments uelewe kwanza!!
Ha ha ngoja niandae mzinga wa hajaWewe nitakupa, lakini sio yule....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila isiwe zaidi ya buku...[emoji85] [emoji85] [emoji85]Ha ha ngoja niandae mzinga wa haja
Kashatangulia mbele ya haki angekuwepo angefanya majukumu kama mzaziHata babaako ? maana nae yumo ktk wanaume