Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Hamjiongezagi ndio maana tunaomba.
Sasa kama huwa nakupa pesa ya matumizi kila mwisho wa mwezi zaid ya sh elfu 50 na bado ukipata emergency nakusaidia kuna haja gani ya kuomba pesa mara kwa mara...?

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Hawa Viumbee kwa Kupenda Pesaa balaa...!! Sema kwa kuwa na sisi papuchi tunazipend bhasii acha kila mtu apambane na hali yakee.. Siku hizi naogopa hata kutongoz maana Sinaa Helaa kiukweli...

Sent from my Z30 using JamiiForums mobile app
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Na sisi hatutaki kuombwaombwa hela hovyo,tuna majukumu mengi kama nyie ambavyo mna majukumu,fanyeni kazi mjiingizie kipato,mambo yakutegemea wanaume jwanza yanashusha heshima,mi sioni sababu yawewe kushindwa kukopa nakusubiria mwanaume ndiye atatue shida zako.Wanawake mfike mahali mjitambue,msiishie kuvaa mawigi tu nakujipara halafu mnakua mnajidhalikisha.Wanawake wengine wanaona kabisa mnafanya kazi kwenye taasisi moja,kipato ni kilekile,lakini anataka eti keasababu ulishamlamba,uwe unasimamia bill zote,anashindwa kujiuliza kama mimi au sisi wanaume pia tunayo majukumu.Kupendapenda vya dezo ndiyomaana mnadhalilishwa kwakufanyiwa vitu vibaya na michepuko kwasababu inakua kama mnalipizwa.
 
Tunasubiri part two, inakuja saa ngapi?
Alafu mbona husemi hiyo id yake nyingine?
Mimi sishauri hiyo I'd ya zamani kuletwa hadharani maana yatazuka mengi zaidi ya mpesa/tigopesa siumemuona shemeji yetu mwenyewe alivyo na polite language au sijui anatuigizia ili wadau wamuone mwanamke mwenzetu ni mkorofi hapo sielew [emoji26][emoji26]

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
 
Ohooo! Hehe kuna wenzenu wanawachafulia CV dada, kama huyu mleta uzi!

brain is the beautiful part of the body.
Nilivyosoma thread ya mtoa uzi na ya mwenzake ni misscommunication. Ila suala kuombana pesa ni kitu cha kawaida sana. Siwezi kushangaa ubavu wangu unaomba hela. Usipompa hela unataka nani ampe?
 
Yaani hivi viumbe ukiondoa sifa ya kiutwa mama zetu, huwa ni viumbe vya ajabu kuwahi kuumbwa duniani.

Halafu anasema anamuombea pesa mtu mwingine?
Na akipewa akimpatia huyo mwingine,aliyepokea anajiona bonge la mjanja,tena ukute ni graduate wakuanzia 2014,ambaye hana hata ajira,atajisifu kinomah na wenzake watamuona kama mtu mwenye bahati.
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.

Hata babaako ? maana nae yumo ktk wanaume
 
Mimi sishauri hiyo I'd ya zamani kuletwa hadharani maana yatazuka mengi zaidi ya mpesa/tigopesa siumemuona shemeji yetu mwenyewe alivyo na polite language au sijui anatuigizia ili wadau wamuone mwanamke mwenzetu ni mkorofi hapo sielew [emoji26][emoji26]

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
Me hadi muda huu siamini kuwa jambo hili limewatokea hawa watu, ushahidi uletwe tu ili na mimi niamini.

brain is the beautiful part of the body.
 
Sasa kama huwa nakupa pesa ya matumizi kila mwisho wa mwezi zaid ya sh elfu 50 na bado ukipata emergency nakusaidia kuna haja gani ya kuomba pesa mara kwa mara...?

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Kama shida imetokea usiombwe?
 
Baadae mnasema wanaume wabaya wanapita na kuondoka kumbe mnajifanyia udalali kwenye miili yenu.
Wanawake wengine hawafai kuoa kabisa,wanafaa kugongwa tu pale unapokua uko kwenye misunderstanding na mkeo au mkeo ujauzito ni mkubwa,unampa hela unakula mzigo hadi mkeo atakapokua tayari kushiriki nawewe tendo la ndoa,not all women are wives.
 
Na sisi hatutaki kuombwaombwa hela hovyo,tuna majukumu mengi kama nyie ambavyo mna majukumu,fanyeni kazi mjiingizie kipato,mambo yakutegemea wanaume jwanza yanashusha heshima,mi sioni sababu yawewe kushindwa kukopa nakusubiria mwanaume ndiye atatue shida zako.Wanawake mfike mahali mjitambue,msiishie kuvaa mawigi tu nakujipara halafu mnakua mnajidhalikisha.Wanawake wengine wanaona kabisa mnafanya kazi kwenye taasisi moja,kipato ni kilekile,lakini anataka eti keasababu ulishamlamba,uwe unasimamia bill zote,anashindwa kujiuliza kama mimi au sisi wanaume pia tunayo majukumu.Kupendapenda vya dezo ndiyomaana mnadhalilishwa kwakufanyiwa vitu vibaya na michepuko kwasababu inakua kama mnalipizwa.
Ndio uanaume huo, pambana na hali yako.
 
Nilivyosoma thread ya mtoa uzi na ya mwenzake ni misscommunication. Ila suala kuombana pesa ni kitu cha kawaida sana. Siwezi kushangaa ubavu wangu unaomba hela. Usipompa hela unataka nani ampe?
Hawa wawili kinachoonekana hapa ni kwamba mmoja wao hajaridhika/ hajaamini kuwa watafikia ukomavu katika mahusiano yao!
Kama wanategeana vile.

Na hili suala la pesa si kwa mwanaume tu hata mwanamke anaweza akatoa pale inapobidi unless kuna mmoja yuko kwenye uhusiano kwa RIBA.

brain is the beautiful part of the body.
 
Ukiona namba inasomeka kwa yule unaemtegemea basi automatically hata wewe itakuhusu! Kama ilivyomgusa mleta uzi bila kujijua.

brain is the beautiful part of the body.
Tumieni hizo brain mpambane na hali zenu, mwanaume kulia lia ni dalili za upungufu wa hicho ulichokikazania.
 
Me hadi muda huu siamini kuwa jambo hili limewatokea hawa watu, ushahidi uletwe tu ili na mimi niamini.

brain is the beautiful part of the body.
Mambo ya ushahidi sio mazuri aiseeh, maadam kila mtu ametoa la moyoni mwake basi yaishe kila mtu ashike ustaarabu wake.

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake wengine hawafai kuoa kabisa,wanafaa kugongwa tu pale unapokua uko kwenye misunderstanding na mkeo au mkeo ujauzito ni mkubwa,unampa hela unakula mzigo hadi mkeo atakapokua tayari kushiriki nawewe tendo la ndoa,not all women are wives.
Hehehe wamekusikia ngoja waje!

Na hiki nahisi kama wanakijua ndo kinawafanya watuombe pesa kila dakika iendayo kwa MUNGU.

brain is the beautiful part of the body.
 
Mimi sishauri hiyo I'd ya zamani kuletwa hadharani maana yatazuka mengi zaidi ya mpesa/tigopesa siumemuona shemeji yetu mwenyewe alivyo na polite language au sijui anatuigizia ili wadau wamuone mwanamke mwenzetu ni mkorofi hapo sielew [emoji26][emoji26]

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
Hapa shemeji katuigizia kabisaaaa, maana muda alosema atatuma ulipita sana baadae akawa hapokei hata simu!! Kwanini asitoe taarifa!!! Hii ni futuhi tu shemeji katuchezea.
 
Back
Top Bottom