TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,712
- 10,205
Majanga kwa jinsi yanavyoikumba Afrika ya Mashariki na kuua maelfu ya watu yananifanya niogope kabisa kwenda Kariakoo.
Majengo ya Kariakoo mengi hayana ubora, na life span ya majengo mengi nahisi imefika ukingoni.
Yakianza kuporomoka ni hatari.
Kwa usalama wa maisha yangu siendi huko
Majengo ya Kariakoo mengi hayana ubora, na life span ya majengo mengi nahisi imefika ukingoni.
Yakianza kuporomoka ni hatari.
Kwa usalama wa maisha yangu siendi huko