fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,955
- 22,654
Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu?
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu?