Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.

Thank you daddy!!!!!!!
 
Daddy wewe tena.... me nakuandalia hivi....


ujue cl utani mwingine sio,.. watu8 kwao wanakula ugali leo unazani akiona hiv situtampoteza?...teh,teh, hadi mate yananitoka nitumie hata kwa pm bas
 
Last edited by a moderator:
Naona ndani ya Jiji la Kijani...wakati wa sikukuu ni mwendo wa Mbalagha tu na mdudu pori.

Asikwambie mtu mzee, mpunga ni nguku, mbatata nu lukama, imbalagha ni kikanda, dah balaa tupu
 
huu ni wakati wa shostito of mine kushine na staki uchakachuuzi nataka hili taji limuendee charming lady kwakweli hata nyie oneni wenyewe.


Nilikua na tonsez but dasa naeza meza so ushind wa cl nshaumezea dawa tayari kwa savana.
 
C6 nimejaa tele kama pishi la mchele! Lol... Nipo hivo hivo kwa kubangaiza. I believe you are well and good.

mie niko bomba , sorry kwa kuchelewa kukujibu nimesahau chaja ya mchina wangu dodoma, si unajua tena hii ndio njia ya pekee nisipokuwa kidadavuzi mpakato changu

karibu sato huku mama
 
Duh! Bongo thi mchedho! Nimekutana na fuso mlandizi full KitiMt wakihemeana, maskini hawajui hata hatima yao ni kwenye intenstines!

Madame B iiiiiiii apewemo kura yangu!
 
Last edited by a moderator:
huu ni wakati wa shostito of mine kushine na staki uchakachuuzi nataka hili taji limuendee charming lady kwakweli hata nyie oneni wenyewe.


Nilikua na tonsez but dasa naeza meza so ushind wa cl nshaumezea dawa tayari kwa savana.

Thnx much my shostito!!!! Me love saaaana...... Hakika hutojutia kura yako!!!!!
 
hivi mtoto umeolewa weye?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…