Nani anaweza kutueleza kwa kifupi bunge limefikia maamuzi gani kuhusu Madudu ya yaliyoripotiwa na CAG? Ndio tuseme tunasubiri ripoti nyingine mwakani?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Nimeona wabunge na mawaziri wamemaliza kujadili ripoti ya CAG. Kwa namna mambo yalivyokwenda ni kama spika amesimama na mawaziri kufunika kombe. Lakini wakati huo wabunge wakiamua kuungana na mawaziri dakika ya mwisho kwa kupiga makofi kama walivyopigiana wakati wakichangia.

Cha msingi zaidi ni wale wote waliowataja mawaziri kuonekana kama waasi na watashughulikiwa kisiasa hasa wale waliosema nchi inakufa. Kwa ujumla yeyote aliyejitutumua kuungana na CAG amekatwa jina kuelekea 2025. Sawa ndio vizuri wakalime na kufuga

Mwisho, baada ya spika kufunika kombe CAG huko alipo na watendaji wake wapo mikoani wanatafuna posho kwa ajili ya kuandika ripoti mpya. Tusubiri tena waje na utepe wa vitabu vipya 2024 kukabidhi vielekee bungeni. Watu wale posho za vikao maisha yaendelee hadi pawepo na political will. Tumeambiwa leo na waziri wa fedha kazi anayofanya CAG ni hisani ya mtawala na kwamba nchi nyingine hakuna huu unaoitwa ripoti za ukaguzi. Twendeni twendeni twendeni
 
Nimeona wabunge na mawaziri wamemaliza kujadili ripoti ya CAG. Kwa namna mambo yalivyokwenda ni kama spika amesimama na mawaziri kufunika kombe. Lakini wakati huo wabunge wakiamua kuungana na mawaziri dakika ya mwisho kwa kupiga makofi kama walivyopigiana wakati wakichangia.

Cha msingi zaidi ni wale wote waliowataja mawaziri kuonekana kama waasi na watashughulikiwa kisiasa hasa wale waliosema nchi inakufa. Kwa ujumla yeyote aliyejitutumua kuungana na CAG amekatwa jina kuelekea 2025. Sawa ndio vizuri wakalime na kufuga

Mwisho, baada ya spika kufunika kombe CAG huko alipo na watendaji wake wapo mikoani wanatafuna posho kwa ajili ya kuandika ripoti mpya. Tusubiri tena waje na utepe wa vitabu vipya 2024 kukabidhi vielekee bungeni. Watu wale posho za vikao maisha yaendelee hadi pawepo na political will. Tumeambiwa leo na waziri wa fedha kazi CAG report wacha tuone anayofanya CAG ni hisani ya mtawala na kwamba nchi nyingine hakuna huu unaoitwa ripoti za ukaguzi. Twendeni twendeni twendeni
issue tu ya Covid 19 ilishindikana sembuse CAG report tatizo la ufisadi ni agenda ya katiba Mpya na si vinginevyo
 
Nimeona wabunge na mawaziri wamemaliza kujadili ripoti ya CAG. Kwa namna mambo yalivyokwenda ni kama spika amesimama na mawaziri kufunika kombe. Lakini wakati huo wabunge wakiamua kuungana na mawaziri dakika ya mwisho kwa kupiga makofi kama walivyopigiana wakati wakichangia.

Cha msingi zaidi ni wale wote waliowataja mawaziri kuonekana kama waasi na watashughulikiwa kisiasa hasa wale waliosema nchi inakufa. Kwa ujumla yeyote aliyejitutumua kuungana na CAG amekatwa jina kuelekea 2025. Sawa ndio vizuri wakalime na kufuga

Mwisho, baada ya spika kufunika kombe CAG huko alipo na watendaji wake wapo mikoani wanatafuna posho kwa ajili ya kuandika ripoti mpya. Tusubiri tena waje na utepe wa vitabu vipya 2024 kukabidhi vielekee bungeni. Watu wale posho za vikao maisha yaendelee hadi pawepo na political will. Tumeambiwa leo na waziri wa fedha kazi anayofanya CAG ni hisani ya mtawala na kwamba nchi nyingine hakuna huu unaoitwa ripoti za ukaguzi. Twendeni twendeni twendeni

Wa Tanzania sijui tumelaaniwa na nan
 
Nimeona wabunge na mawaziri wamemaliza kujadili ripoti ya CAG. Kwa namna mambo yalivyokwenda ni kama spika amesimama na mawaziri kufunika kombe. Lakini wakati huo wabunge wakiamua kuungana na mawaziri dakika ya mwisho kwa kupiga makofi kama walivyopigiana wakati wakichangia.

Cha msingi zaidi ni wale wote waliowataja mawaziri kuonekana kama waasi na watashughulikiwa kisiasa hasa wale waliosema nchi inakufa. Kwa ujumla yeyote aliyejitutumua kuungana na CAG amekatwa jina kuelekea 2025. Sawa ndio vizuri wakalime na kufuga

Mwisho, baada ya spika kufunika kombe CAG huko alipo na watendaji wake wapo mikoani wanatafuna posho kwa ajili ya kuandika ripoti mpya. Tusubiri tena waje na utepe wa vitabu vipya 2024 kukabidhi vielekee bungeni. Watu wale posho za vikao maisha yaendelee hadi pawepo na political will. Tumeambiwa leo na waziri wa fedha kazi anayofanya CAG ni hisani ya mtawala na kwamba nchi nyingine hakuna huu unaoitwa ripoti za ukaguzi. Twendeni twendeni twendeni
Siku zote ubora wa gari ni Injini,mwenye matatizo ni yule wa Ikulu akishilikiana na Mstaafu aliyegoma kustaafu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ila siku nyingine wasiwe wanasoma hiyo ripoti, waibe kwa urefu wa kamba zao hamna wa kuwafanya kitu.
 
Nimeona wabunge na mawaziri wamemaliza kujadili ripoti ya CAG. Kwa namna mambo yalivyokwenda ni kama spika amesimama na mawaziri kufunika kombe. Lakini wakati huo wabunge wakiamua kuungana na mawaziri dakika ya mwisho kwa kupiga makofi kama walivyopigiana wakati wakichangia.

Cha msingi zaidi ni wale wote waliowataja mawaziri kuonekana kama waasi na watashughulikiwa kisiasa hasa wale waliosema nchi inakufa. Kwa ujumla yeyote aliyejitutumua kuungana na CAG amekatwa jina kuelekea 2025. Sawa ndio vizuri wakalime na kufuga

Mwisho, baada ya spika kufunika kombe CAG huko alipo na watendaji wake wapo mikoani wanatafuna posho kwa ajili ya kuandika ripoti mpya. Tusubiri tena waje na utepe wa vitabu vipya 2024 kukabidhi vielekee bungeni. Watu wale posho za vikao maisha yaendelee hadi pawepo na political will. Tumeambiwa leo na waziri wa fedha kazi anayofanya CAG ni hisani ya mtawala na kwamba nchi nyingine hakuna huu unaoitwa ripoti za ukaguzi. Twendeni twendeni twendeni
Hawawezi kuthubutu kuwakata labda kuwaonya.

Uwakate Ili upoteze ubunge? Hao waliothubu ni watu wanaokubalika majimboni kwao eg Mulugo na Tabasamu
 
MTN.jpeg
 
It is business as usual.
Mama anaupiga mwingi.
Mwenye kamba ndefu anafanya ufisadi mrefu.
Wakati wa Nyerere ilikua Uhuru na kazi.
Ikaja ruksa,
Ikaja Mambo powa.
Ikawa kimya
Ikawa vunja tumbua
Sasa ni fanya ubadhirifu kwa urefu wa kamba yako lakini ujipimie. (Fisadi ajipimie😅😅😅)
 
Nimeona wabunge na mawaziri wamemaliza kujadili ripoti ya CAG. Kwa namna mambo yalivyokwenda ni kama spika amesimama na mawaziri kufunika kombe. Lakini wakati huo wabunge wakiamua kuungana na mawaziri dakika ya mwisho kwa kupiga makofi kama walivyopigiana wakati wakichangia.

Cha msingi zaidi ni wale wote waliowataja mawaziri kuonekana kama waasi na watashughulikiwa kisiasa hasa wale waliosema nchi inakufa. Kwa ujumla yeyote aliyejitutumua kuungana na CAG amekatwa jina kuelekea 2025. Sawa ndio vizuri wakalime na kufuga

Mwisho, baada ya spika kufunika kombe CAG huko alipo na watendaji wake wapo mikoani wanatafuna posho kwa ajili ya kuandika ripoti mpya. Tusubiri tena waje na utepe wa vitabu vipya 2024 kukabidhi vielekee bungeni. Watu wale posho za vikao maisha yaendelee hadi pawepo na political will. Tumeambiwa leo na waziri wa fedha kazi anayofanya CAG ni hisani ya mtawala na kwamba nchi nyingine hakuna huu unaoitwa ripoti za ukaguzi. Twendeni twendeni twendeni
Kwa kifupi hatuna Bunge na hatuna spika Ila tuna kikundi cha watu waliochaguliwa na Magufuli kulinda, kuhalalisha na kupitisha ubadhirifu na maamazi ya hovyo ya Serikali. Katika moja ya hotuba za Tulia aliweka wazi kuwa yeye yuko chini ya Rais na kwa maana hiyo hawezi kukosoa au kwenda kinyume na kile serikali ya Samia inachokiamua. Spika hakuruhusu riport ijadiliwe kwa wakati, alikaa nayo mpaka alipojisikia baada ya mambo kupoa, yaani wananchi kusahau, alafu ndiyo imejadiliwa kama mlivyoona huku akina Mwigulu wakitoa kejeli za aina ile. Hatuna wabunge walio na uwezo wa kuhoji na kuisimamia serikali, kazi yao ni posho na kulinda majina yao yasikatwe, huku spika akilenga kubebwa tena kwenye uchaguzi.
 
Wa Tanzania sijui tumelaaniwa na nan
Na tumelaaniwa kweli! Hebu ona hata hapa JF tunapojinadi kama Home of great thinkers, bado pamoja na madudu yote ya serikali hii lakini eti kuna watu wanajitokeza bila aibu kuwakejeli wale wanaojitoa kuwasemea raia wa nchi hii dhidi ya huu udhalimu.
Kweli kama hujarogwa unawezaje kuwabeza wanaojitoa bila woga?
 
Na tumelaaniwa kweli! Hebu ona hata hapa JF tunapojinadi kama Home of great thinkers, bado pamoja na madudu yote ya serikali hii lakini eti kuna watu wanajitokeza bila aibu kuwakejeli wale wanaojitoa kuwasemea raia wa nchi hii dhidi ya huu udhalimu.
Kweli kama hujarogwa unawezaje kuwabeza wanaojitoa bila woga?


Mambo yanauma haya ndugu
 
Back
Top Bottom