Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Musiba anachukua mkoa wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mara paap!
Screenshot_2018-08-30-21-26-27.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
...wakuu, hii ni prediction tu. Kwa tunaomfahamu Mkulu, vere suni anamtoa mkuku huyu Makonda. Makonda ameshindwa kujifunika kwa turubai na ameishia kujificha kwenye shamba la karanga au nyuma ya nguzo ya umeme.

Hivyo tutabiri, nani atakuwa mkuu wa mkoa mpya, na awe na sifa gani ili kuongoza vyema mkoa huu wenye changamoto nyingi na unaoongoza kwa kuliingizia taifa pato kubwa!!

Kwaheri kaka Makonda. The street is waiting for u. Kolomije wanakuandalia mapokezi makubwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamwisho sokoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalau dada wewe umeliona hili, mkulu angekuwa na dhamira hiyo hakuwa na haja ya kulitolea ufafanuzi, badala yake ingekuwa kama ya nape & mwigulu, barua ya utenguzi ingekuwa mitandaoni sa hii
Na imeshatoka hiyo Dogo ataendelelea na majukumu yake kama kawaida
 
Huyo unaemtaja hajapata kosa la kumtoa hapa Dar hizo unazohisi ni kelele tu. Hicho ni kizimba cha jiwe haking'olewi kirahisi hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kucheza na akili za watanzania ni rahisi sana huyu mwenye kaya angekuwa mtumbuaji hata asingetoa maelezo mengi angefyeka maelezo yangefuata ila hapa tumechezewa
 
Mh. Raias binafsi nasubiria uteuzi wizara ya mali asili na utalii ata ukuu wa kitengo..! Serious sitanii please yeyote atakayesoma amfikishie salam zangu hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na madhaifu yake bado ni RC bora kwa baadhi ya maeneo. Akilipa kodi si ATAKUWA safi na KUENDELEA? Just curious.

Siku zote masadi na matapeli wanajua kuchapa kazi sana.
Tunachowakataa ni kuzuia watu wengine hata kusema. Wasijione na kujitangaza kama malaika. Madhaifu yao yapo ndio maana yanapokuwa wazi sana basi wakubali kuachia ngazi watu wengine nao waongoze.

Ukiona mtu ni mchapa kazi sana na anatumia nguvu kubwa sana kuzuia watu wengine kumhoji ujue kuna uovu anaoficha.

Hii nchi ili iondokane na viongozi wenye ubinafsi na kujilimbikizia Mali ni lazima siasa za KiCCM zipotee kabisa . Paibuke chama kingine chenye nguvu na CCM ipumzike kwa kupokezana utawala. Serikali ya chama kingine ingebanwa sana na maaliwatani wa CCM kulikonilivyo sasa CCM wanakosa wapinzani imara wa kuwabana.

Kwa sasa CCM ni kichaka cha kula nchi bila hofu. Ndio maana hata wapinzani wanakimbilia huko.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom