Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Ile sinema tu.
Hakuna kitu kama hicho.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama wewe mke basi mumeo ana tabu sana. Unapinga tu. That’s a disease, see a Doctor. Kinachoonekana ulisubiri Rais amtoe Mpango. Huwa mna Theories zenu hewa nyingi sana, Sasa mnapoona Mh Mbona kinyume mnakuja na Cinema. Please make it faster and consult a doctor.
 
Umewashirikisha hawa?
Pascal Mayalla
mshana jr
...wakuu, hii ni prediction tu. Kwa tunaomfahamu Mkulu, vere suni anamtoa mkuku huyu Makonda. Makonda ameshindwa kujifunika kwa turubai na ameishia kujificha kwenye shamba la karanga au nyuma ya nguzo ya umeme.

Hivyo tutabiri, nani atakuwa mkuu wa mkoa mpya, na awe na sifa gani ili kuongoza vyema mkoa huu wenye changamoto nyingi na unaoongoza kwa kuliingizia taifa pato kubwa!!

Kwaheri kaka Makonda. The street is waiting for u. Kolomije wanakuandalia mapokezi makubwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa malyangili angewahi kusepa kabla ya kusepeshwa,tukutane Kwa Mzee wa kuliamsha dude tukale ubuyu wa Zanzibar
Screenshot_2018-08-30-21-07-42.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na madhaifu yake bado ni RC bora kwa baadhi ya maeneo. Akilipa kodi si ATAKUWA safi na KUENDELEA? Just curious.
 
Back
Top Bottom