Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,511
- 283,965
- Thread starter
- #341
Shika kilicho mkononi mwako kilicho mkononi mwa mwenzio siyo chako
basi sawa mkuuMimi hapa wadau...😍😍😍😂😊😊😊😂
Keshachaguliwa mkuu wa Mkoa.basi sawa mkuu
Ohoooo !!! Niko Kyela mkuu , nashukuru kwa taarifaKeshachaguliwa mkuu wa Mkoa.
Sawa mkuu.. EnjoyOhoooo !!! Niko Kyela mkuu , nashukuru kwa taarifa
Amina mkuuSawa mkuu.. Enjoy
Sio ufalme ule.Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina uhusiano na jambo lingine lolote .
Ieleweke kwamba Mkoa wa DSM kama ilivyo mikoa mingine umeishaongozwa na Wakuu tofauti tofauti wa Mkoa , kwa uchache nitaweka majina kadhaa , Tukianza na Marehemu Kandoro , Marry Chipungahelo , Mecky Sadik , Yusuph Makamba na Ditopile Mzuzuri
Uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti , leo huyu kesho yule , hakuna kiongozi wa milele .
Pendekeza jina la umtakaye hata kama itafika miaka 15 ijayo .
Wakati si milele
Imebaki Story !Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina uhusiano na jambo lingine lolote .
Ieleweke kwamba Mkoa wa DSM kama ilivyo mikoa mingine umeishaongozwa na Wakuu tofauti tofauti wa Mkoa , kwa uchache nitaweka majina kadhaa , Tukianza na Marehemu Kandoro , Marry Chipungahelo , Mecky Sadik , Yusuph Makamba na Ditopile Mzuzuri
Uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti , leo huyu kesho yule , hakuna kiongozi wa milele .
Pendekeza jina la umtakaye hata kama itafika miaka 15 ijayo .
Wakati si milele
😆😆😆Makonda next year mda kama huu tutakuw tunacheza nae bao pale lumumba na kachoka kwelikweli