Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

...wakuu, hii ni prediction tu. Kwa tunaomfahamu Mkulu, vere suni anamtoa mkuku huyu Makonda. Makonda ameshindwa kujifunika kwa turubai na ameishia kujificha kwenye shamba la karanga au nyuma ya nguzo ya umeme.

Hivyo tutabiri, nani atakuwa mkuu wa mkoa mpya, na awe na sifa gani ili kuongoza vyema mkoa huu wenye changamoto nyingi na unaoongoza kwa kuliingizia taifa pato kubwa!!

Kwaheri kaka Makonda. The street is waiting for u. Kolomije wanakuandalia mapokezi makubwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Harmorapa angefaa
 
Hakuna kama makonda. Makonda ana weakness zake ila sehemu kubwa yupo vizuri. Mikoa mingine tulimtamani sana huyu makonda japo mwaka mmoja tu. Rais aliletee sisi huku ili watu wanyooke.
Kimewaka mkuu kwepaji Kodi hatari...likisingizia walimu...mpokeeni tu huko mikoani mkulu keshamchoka[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kama makonda. Makonda ana weakness zake ila sehemu kubwa yupo vizuri. Mikoa mingine tulimtamani sana huyu makonda japo mwaka mmoja tu. Rais aliletee sisi huku ili watu wanyooke.
Huna pointi, mkwepa kodi hana chake, wenzetu ulaya ukikwepa kodi hata Kama uliiwezesha nchi kutwaa kombe la dunia, we ni out too ifike hapo nchi isonge.
 
Msijisumbue aisee.

Makonda akitemwa Basi sio msukuma...huyu jamaaa ni kada mtiifu anayeaminika namkuu sana.

Nahizi mambo zinavyoendelea, mnaonyesha mnamshambulia sanaaaa sasa matokeo yake mnampa mkuu sababu ya kumshikilia.

*I shall kindly Knee to leave my Pride*
 
Back
Top Bottom