Nani aliyemuumba Mungu?

Nani aliyemuumba Mungu?

Mtu anayetaka uthibitisho wa kitu hahitaji kuwa na definition, kudai uthibitisho wa kitu ni kudai definition ya kitu, kwa sababu, hutakiwi kuthibitisha kitu bila kuki define.

Kwa hivyo, nilivyotaka uthibitisho Mungu yupo, hapo cha kwanza kujibiwa ilikuwa definition.

Wewe mpaka sasa hujaweza ku define Mungu ni nini na hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Define Mungu ni nini.

Thibitisha Mungu yupo.
Hawa wajomba madrassa wamekaririshwa kuomba uthibitisho wa vitu ambavyo havipo.
Lengo lao mzungushane mpotezeane muda ila mwisho wa siku hamna kitu cha maana mtakachodiscuss
Mtaishia kubishana tu, huyu anataka umpe uthibitisho wa kitu ambacho hakipo, huyu naye anataka umpe uthibitisho wa kutokuwepo hicho kitu...

mwisho wa siku hawajui jukumu la kutoa uthibitisho liko juu ya yule anaedai uwepo wa hiko kitu
ndomaana watu wanaishia kuwaona wajinga.
So save ur energy.
 
Mtu anayetaka uthibitisho wa kitu hahitaji kuwa na definition, kudai uthibitisho wa kitu ni kudai definition ya kitu, kwa sababu, hutakiwi kuthibitisha kitu bila kuki define.

Kwa hivyo, nilivyotaka uthibitisho Mungu yupo, hapo cha kwanza kujibiwa ilikuwa definition.

Wewe mpaka sasa hujaweza ku define Mungu ni nini na hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Define Mungu ni nini.

Thibitisha Mungu yupo.
Kudai uthibitisho wa kitu ni kudai definition ya hicho kitu?!!
Ina maana mwenye kutaka uthibitisho wa kitu ni kwamba hakijui hicho kitu ni nini?
 
Huna hoja kijana, unaweka maana kisha unaipinga na kuchagua maana, nakupangiana maana bila kukosoa maana. Hapa ndio nacheka sana.

Umeshindwa kujenga na kuandika makosa mengi, hujajibu maswali, unataka ujadiliane na wakubwa zangi, aisee acha kuikosea adabu elimu.

Naona umelivamia tena neno "bida'a" kijana. Kwanza kule juu ulirekebisha kutoka "Edward" kwenda "Richard" ?

Nasubiri hoja zako zinazo kosoa hili, kuanzia Qur'aan na Hadithi hujaweka tangu jana analialia tu.

Ahsante.



Wewe umeweka hadithi au aya gani ya Qur'an inayosema kwamba Mtu YEYOTE anayehoji kuumbwa kwa Mungu ni Muongo na tapeli??

Unanitaka mimi nioe aya kwani mimi ndio nitoaye hayo madai??? -- wewe ndiye unayetakiwa kwanza kuthibitisha madai yako kwa aya na hadithi sahihi za Alrasulullah (saw) mbora wa manabii.


Namsubiri huyo teacher wako umlete hapa aje kujibu kwani haya ni maji marefu kwako.
 
Kudai uthibitisho wa kitu ni kudai definition ya hicho kitu?!!
Ina maana mwenye kutaka uthibitisho wa kitu ni kwamba hakijui hicho kitu ni nini?
Basi mimi sio kiranga...naomba definition ya Mungu
 
Huyo jamaa ni kundi moja na wewe, unawezaje kumwita mtu Sophist, deceiver, un intellectual, kwa kuhoji tu; Mungu kaumbwa na nani??


Sasa kama angeamini bila kuhoji kwamba Mungu naye ameumbwa hapo utamwitaje??!!--- hapo ndipo unatakiwa umwite ignorant kwa kuamini ujinga kwamba Mungu kaumbwa.

Mtu anayehoji au kuuliza huyo siyo mjinga bali mtu anayeamini na kushikilia ujinga huyo ndiye mjinga, au hujasikia kauli hii; "KUULIZA SIO UJINGA"???--- wewe ni mtu wa wapi??, una copy-paste na kutetea vitu vya ajabu!!!

Mtu anayehoji huyo anaitwa "Curious" na ukimwita mjinga ni tusi.

Halafu pia unatetea mambo ya ajabu au hujui English??, eti mtu anayehoji aitwe deceiver??!!, hiyo ni sawa???

Angalia maana ya asili ya neno; Sophist uone, Sophist walikuwa ni waalimu na wanataaluma wa kigiriki enzi hizo, sasa utasemaje a Sophist awe ignorant? ?!!.

Elimu zenu zimejaa viburi na kutusi watu, hamuwezi kufundisha watu kwa hekima na kauli njema ila matukano ndiyo mitaala yenu.
Safi Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wajomba madrassa wamekaririshwa kuomba uthibitisho wa vitu ambavyo havipo.
Lengo lao mzungushane mpotezeane muda ila mwisho wa siku hamna kitu cha maana mtakachodiscuss
Mtaishia kubishana tu, huyu anataka umpe uthibitisho wa kitu ambacho hakipo, huyu naye anataka umpe uthibitisho wa kutokuwepo hicho kitu...

mwisho wa siku hawajui jukumu la kutoa uthibitisho liko juu ya yule anaedai uwepo wa hiko kitu
ndomaana watu wanaishia kuwaona wajinga.
So save ur energy.
Wakitaka uthibitisho wa kitu ambacho hakipo wanione mimi

Ninao uthibitisho
 
Maneno mengi huko na huko, na wewe unapoteza muda tu hapa.

Nasema hivi; mtu anayehoji au kuuliza huyo siye mjinga.

Angalia, kuna hatua hizi ujifunze;

1--- Ignorance
2--- Curiosity
3-- knowledge.

Ignorance ni yule anayeamini na kutenda mambo ya kijinga bila kujua na hataki kujua wala kujishughulisha kutaka kujua.

Curious ni yule aliyetoka kwenye ujinga na anataka kujua, hapa sasa ndipo ule msemo unapo hold kwamba "kuuliza sio ujinga" anayeuliza sio mjinga.

Knowledge hii ni hatua ya mtu baada ya kujua anakuwa mwerevu, lakini akishajulishwaa na akarudia kwenye Ignorance huyo anakuwa ignorant.


Sasa tufanye wewe hukuwa unajua kama Mungu hajaumbwa, na ukawa unahoji kuumbwa kwake, je na wewe ulikuwa; lying (Mdanganyaji), deceiver (Muingopeaji), un intellectual (usiye na taaluma), a sophist nk???--- kwa kuhoji tu unapewa hayo majina???--- je vipi yule ambaye anasema na kuamini kwamba Mungu kaumbwa, tumuite nani???
Hahaaa mtoa mada anafit hapo mwenye namba 1. Anachokiamini yeye huwa analazimisha wengine wakiamini hivyo hivyo pia hata kama hakina logic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wajomba madrassa wamekaririshwa kuomba uthibitisho wa vitu ambavyo havipo.
Lengo lao mzungushane mpotezeane muda ila mwisho wa siku hamna kitu cha maana mtakachodiscuss
Mtaishia kubishana tu, huyu anataka umpe uthibitisho wa kitu ambacho hakipo, huyu naye anataka umpe uthibitisho wa kutokuwepo hicho kitu...

mwisho wa siku hawajui jukumu la kutoa uthibitisho liko juu ya yule anaedai uwepo wa hiko kitu
ndomaana watu wanaishia kuwaona wajinga.
So save ur energy.
Tumia akili japo kidogo kufikiri kwamba mtu anadai kuwa kitu fulani hakipo, sasa tutawezaje kujua kuwa anachosema ni kweli?
 
Unabwabwaja sana....nikisema kitu hakipo ushahidi wangu ni kutokuwepo kwake...yaani tunasema the absence of evidence is the evidence of absence.
Mtu akija nyumbani kwako akasema hakuna maji basi ujue yeye amayetafuta akakosa hivyo akasema hakuna maji. Ukibisha usimuulizie ushahidi wa kutokuwepo maji(utakuwa ujinga) kama unampinga muoneshe maji case closed

Sasa kama wewe unasema kipo weka ushahidi ila ukija na taarabu zako mimi huo muda sina...usipokuja na ushahidi ila ukaja na taarabu tena sitareply
Jamaa huwa anashangaza sana.. Kitu ambacho hakipo kinawezekana vipi kuthibitishwa kutokuwepo kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom