Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,945
Ili tuepukane na huu mjadala, naomba uweke kwenye kumbukumbu zako "tunamuumba Mungu kwenye akili zetu" baada ya kufikia upeo wa mwisho wa kufikiria unadhani kuna mweza ya yote .
Mungu yupo ila ni muweza wa mambo yote yaliyomo ndani ya kanuni zake.