Nani aliyemuumba Mungu?

Nani aliyemuumba Mungu?

Muumbaji ni mmoja tu MWENYEZIMUNGU
Tuko pamoja hapa nawataka waje Wakana Mungu ambao huwa wanataka kujua ya kuwa kilichopo kina chanzo,wakati ukweli ni kinyume chake.
 
Mbona nimekujibu soma vizuri na uelewe usisome ili uulize swali.
Hujajibu swali hili, wewe umeelezea kuhusu kufikirika.

Kwa mfano nikikuuliza umejuaje kama mimi ni mtu, utaeleza vipi ?
 
Hayo ndio majibu yangu na huo ndio msimamo wangu, sasa unapotaka majibu yangu wakati majibu yapo huko juu ni kupoteza muda.

Tuendelee.
Ungeandika kua unakubaliana na majibu hayo kutoka kwenye hiyo site uliyo copy na kupaste nisingeuliza
 
Ungeandika kua unakubaliana na majibu hayo kutoka kwenye hiyo site uliyo copy na kupaste nisingeuliza
Unawaza kitoto sana, soma nilichomalizia katika hii mada, shida yako unapenda kupoteza muda ilimradi tu uandike mwisho wa siku unapoteza umakino kama hivi.
 
Unawaza kitoto sana, soma nilichomalizia katika hii mada, shida yako unapenda kupoteza muda ilimradi tu uandike mwisho wa siku unapoteza umakino kama hivi.
Ulichomalizia kwenye mada yako ni hiki

"Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.

Ahsante.

Jurjani (Zurri)"

Nukuu hii haijibu swali langu ambalo mi nimekuuliza
 
Ulichomalizia kwenye mada yako ni hiki

"Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.

Ahsante.

Jurjani (Zurri)"

Nukuu hii haijibu swali langu ambalo mi nimekuuliza
Umeshajua majibu yangu ni yapi kuhusu swali lako ?
 
Kwa chini hapo nimeandika kua nukuu hiyo haijibu swali langu sijui ka umeiona
Safi kwa kujua majibu yangu juu ta hili linalo jadiliwa katika hii mada.

Tuendelee....
 
In Greek mythology there are many gods. They are born but immortal. Which God are you talking here. A Muslim God (Allah) or Christian God (Jesus)?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yule ambaye ni wa mwanzo asie na mwanzo kabla yake na wa mwisho asie na cha mwisho baada yake, yule ambae ameumba mbingu na ardhi na vilivyomo, yule ambaye anajua yaliyopo, yaliyopita, yajayo na yale ambayo hayapo na laiti kama yangeukwepo anajua yangekuwaje. Huyu ni Allah aliye juu.

Ahsante
 
Hiyo ni lugha ya matusi unaposema kila anayehoji; "Mungu kaumbwa na nani" ni; ignorant, unintellectual, a lying deceiver, a sophist.
Kumpa mtu sifa anayo stahiki haijawahi kuwa tusi, labda utuambie umeegemea wapi mpaka ukahitimisha hayo ni matusi ?
Huyo aliyeandika hayo ndiye ignorant na sophist, kwani ni nani mwenye "dynamic mind" hata siku moja asikae na kutafakari;
Wewe naona unaingia kwenye sifa hizi. Nakuuliza swali "Mjinga" ni tusi ? Hasa akiambiwa mjinga yule ambaye ni mjinga ? Hili sio tusi bali ni haki ya mjinga kuitwa mjinga, kwani maana ya mjinga ni yule asie kuwa na elimu ya jambo fulani huyo ni mjinga juu ya elimu hiyo. Sasa usilete hisia kwenye mambo ya kielimu.

Hatuhoji juu ya kutafakari bali tunahoji juu ya kutafakari nini, ubatakiwa umaizi hapa. Anae tafakari juu ya uongi na ujinga kisha akausambaza ujinga huo huyo ni mjinga tena mzandiki.
bila shaka hata yeye mwenyewe amepata kuhoji hilo swali ndipo akaja na jibu kwamba Mungu ni eternal na akaweza kunukuu hiyo aya ya Qur'an,
Sio kila majibu huletwa baada ya kutafakari juu ta jambo fulani, hilo unatakiwa uliwekee ushahidi, kinyume na hapo hii inakuwa dhana mufilisi. Ndio maana sisi kauli yetu huwa tunasema hivi "Elimu kwanza kabla ya kauli na kutenda". Kuba wengine hawajawahi kufikiria huu ujinga, sababu walipata kwanza Elimu juu ya hii, mmoja wapo ni mimi, sijawahi kufikiria ya kuwa Allah ameumbwa, sababu nilianza kumjua kwanza Allah. Kwahiyo usiwe unaandika mambo ambayo tukikuomba ushahidi huwezi kutoa, kwanza haya ni matumizi mabaya ya akili. Fikiri kwanza kabla ya kuandika.
bila ya hiyo aya si bado angekuwa katika ujinga wa kutojua jibu la vipi Mungu aliumbwa au hajaumbwa.
Naona unaunga mkono nikichokiandika, na kwakutokielewa ulivho kiandika ni kuwa unae msema sasa hivi sio mjinga tena wa hili, kwahiyo hao wanao hoji kuumbwa kwa Allah bado wanabaki kuwa wajinga. Laiti kama ungefiktiri kabla naamini usingeandika huu ujinga.
Huyo jamaa kaandika nonsensical.
Poa.
 
Kumpa mtu sifa anayo stahiki haijawahi kuwa tusi, labda utuambie umeegemea wapi mpaka ukahitimisha hayo ni matusi ?

Wewe naona unaingia kwenye sifa hizi. Nakuuliza swali "Mjinga" ni tusi ? Hasa akiambiwa mjinga yule ambaye ni mjinga ? Hili sio tusi bali ni haki ya mjinga kuitwa mjinga, kwani maana ya mjinga ni yule asie kuwa na elimu ya jambo fulani huyo ni mjinga juu ya elimu hiyo. Sasa usilete hisia kwenye mambo ya kielimu.

Hatuhoji juu ya kutafakari bali tunahoji juu ya kutafakari nini, ubatakiwa umaizi hapa. Anae tafakari juu ya uongi na ujinga kisha akausambaza ujinga huo huyo ni mjinga tena mzandiki.

Sio kila majibu huletwa baada ya kutafakari juu ta jambo fulani, hilo unatakiwa uliwekee ushahidi, kinyume na hapo hii inakuwa dhana mufilisi. Ndio maana sisi kauli yetu huwa tunasema hivi "Elimu kwanza kabla ya kauli na kutenda". Kuba wengine hawajawahi kufikiria huu ujinga, sababu walipata kwanza Elimu juu ya hii, mmoja wapo ni mimi, sijawahi kufikiria ya kuwa Allah ameumbwa, sababu nilianza kumjua kwanza Allah. Kwahiyo usiwe unaandika mambo ambayo tukikuomba ushahidi huwezi kutoa, kwanza haya ni matumizi mabaya ya akili. Fikiri kwanza kabla ya kuandika.

Naona unaunga mkono nikichokiandika, na kwakutokielewa ulivho kiandika ni kuwa unae msema sasa hivi sio mjinga tena wa hili, kwahiyo hao wanao hoji kuumbwa kwa Allah bado wanabaki kuwa wajinga. Laiti kama ungefiktiri kabla naamini usingeandika huu ujinga.

Poa.



Huyo jamaa ni kundi moja na wewe, unawezaje kumwita mtu Sophist, deceiver, un intellectual, kwa kuhoji tu; Mungu kaumbwa na nani??


Sasa kama angeamini bila kuhoji kwamba Mungu naye ameumbwa hapo utamwitaje??!!--- hapo ndipo unatakiwa umwite ignorant kwa kuamini ujinga kwamba Mungu kaumbwa.

Mtu anayehoji au kuuliza huyo siyo mjinga bali mtu anayeamini na kushikilia ujinga huyo ndiye mjinga, au hujasikia kauli hii; "KUULIZA SIO UJINGA"???--- wewe ni mtu wa wapi??, una copy-paste na kutetea vitu vya ajabu!!!

Mtu anayehoji huyo anaitwa "Curious" na ukimwita mjinga ni tusi.

Halafu pia unatetea mambo ya ajabu au hujui English??, eti mtu anayehoji aitwe deceiver??!!, hiyo ni sawa???

Angalia maana ya asili ya neno; Sophist uone, Sophist walikuwa ni waalimu na wanataaluma wa kigiriki enzi hizo, sasa utasemaje a Sophist awe ignorant? ?!!.

Elimu zenu zimejaa viburi na kutusi watu, hamuwezi kufundisha watu kwa hekima na kauli njema ila matukano ndiyo mitaala yenu.
 
Back
Top Bottom