Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 754
God is a myth, Mungu huibuka pale tu ukoma wa kufikiri wa mwanadamu unapofika lakìni in real Hakuna mungu
Imani bila ushahidi ni UPUMBAVU
Kifo nilishakishuhudia
Asante Mkuu, nilishapendekeza kwamba katika mitaala yetu basi somo la Ulimwengu usioonekana lifundishwe mashuleni hadi vyuoni.Mungu ni roho(energy) yaani ni nishati hai na tafsiri ya nishati kwa kiingereza inasema hivi... Energy can neither be created nor destroyed.. It can only be transformed
Kwamba Mungu ni nishati (hai) na nishati haiumbwi wala haiharibiri bali huweza tu kubadilika ama kubadilishwa.... Mungu sio mwili Mungu ni roho na roho haiumbwi wala haiharibiwi (haiharibiki)
Jr![]()
Yeye ni alpha na Omega,wa kwanza na wa mwisho, aliyekuwepo,yupo na atakuwepo milele ma milele.The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)
Sasa kama unashindwa kujibu hoja zangu na huelewi unachokiandika,utawezaje kujadiliana na wakubwa zangu, acha kuikosea adabu elimu kijana.
Unachotakiwa kufanya muda huu ni kujenga hoja na sio hisia za malalamiko.
Nipo hapa nasubiri hoja.
Naona umekosea njia mzee. Kuna muda kusoma huwa bora zaidi kuliko kuandika.
Ahsante.
Kwani imani ni nini ? Ina maana kila kisicho onekana hakiongeleki nje ya imani ?Ndiyo maana nakwambia masuala ya Mungu yupo ama hayupo ni IMANI na imani haionelani kwa macho...sasa ukitaka kuhakikisha kwamba kweli yupo ama lah ni suala la kujiua ili ukahakikishe mwenyewe kwa macho yako...hakuna njia nyingine !!
Nieleweshe kaka.Sijakosea njia mkuu sema hujanielewa.
nishida,bora mtu ukanyamaza tu.badala ujibu kwa hoja, unaanza mipasho. dah tuna safari ndefu sana hata kujieleza ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
wote hatuna taarifa za chanzo chake hata kama tutajadili tunajazana upepo tu basi. na kama workdone is equal to zero basi tumejisumbua bure.The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)
Nacheka sana, ngoja nikupe mfano :Hoja ndiyo hiyo kwamba, iweje kuhoji kwa mtu kuhusu Mungu kuumbwa uwe ni ujinga, uongo, udanganyifu, kukosa taaluma na sophist??
Nimeshaweka maana ya Sophist toka kwenye lugha ya Kiingereza, Kiswahili chake sina, naona unakimbia na kupoteza muda. Soma juu huko.Hebu toa maana ya Sophist kwa kiswahili. Mimi ninayo mashaka juu ya uelewa wako wa kiingereza ndiyo maana namuhitaji huyo uliyeenda kukopi na kupaste kwake aje hapa aeleze alikuwa na maana gani kutumia hayo maneno kwa mtu anayehoji hilo swali, au muulize na majibu yake uyaweke hapa.
Walisahau baadhi ya vitu ndio maana tukasema ya kuwa kuuliza uliza hovyo si tabia nzuri na hupelekea kupotea kwa mtu.Toka lini mtu anayetaka kujua kwa kuuliza aitwe mjinga??, unadhani waliosema; "kuuliza sio ujinga" ni Wapumbavu??--- akili ya binadamu sio ya kuku siku zote Huyo huyo Mungu kaifanya iwe inahoji mambo, na ndiyo chimbuko la maendeleo ya roho na mwili na mazingira.
Kwahiyo wanao hoji kuhusu kula kwa Allah wanamjua Allah au kufa kwa Allah wanamjua Allah ? Sasa sijui unafikiria kwa kutumia nini kijana ? Jalia mtu anataka kujua, je anakuwa mjinga juu ya kile anachotaka kukijua au anakuwa na elimu juu ya hicho anachotaka kukijua ? Kijana naona huna hoja unapoteza muda.Watu wanahoji Mungu hatokufa??, watu wanahoji Mungu hali,??nk--- hawa wanahitaji majibu ya kuridhisha sio kuwaita Wajinga, Waongo, wadanganyifu nk, maneno nasty kutamkwa na Muumini aliyeshiba Taqwa.
Nacheka sana aisee. Wewe ndio ulie jifaragua kwamba unaijua maana ya "Sophist" lakini kwa ujingacwako nimekuoa maana mbili za tamko hilo, lakini badala ya kukosoa maana nilizo kupa, unataka nikupe maana ya kiswahili ya tamko hilo, sasa sijui inasaidia nini wakati maelezo ya tamko hilo yaoo wazi. Kijana unatakiwa kuacha kudakia mambo usiyo yaweza, matokeo yake badala ya kujadili hoja, unataka nikuambie "Sophist" kwa Kiswahili. Mimi nasema hivi "Sijui Kiswahiki cha Sophist".Sasa tafsiri kwa Kiswahili "Sophist" katika uhalisia wake (in the first meaning uone).
Una maanisha nini hapa ? Ufafanuzi tafadhali.“Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.”
— Yohana 1:1 (Biblia Takatifu)
Watu hawasomi mada wakaelewa, hili tatizo kubwa sana ambalo tunakumbana nalo sana humu ndani.Nb:Soma mada na uelewe vizuri kabla ya kujibu
1.joto halipimwi kwa kilo bali kwa centigrade1. Hivi kiwango cha joto leo ni kilo ngapi ?
2. Hivi kati ya baba na mwana nani mkubwa ?
Aisee kazi ipo.1.joto halipimwi kwa kilo bali kwa centigrade
2.baba ni mkubwa
Simple, haiihitaji complications, tena ntakuwa nimesaidia kuondoa ujinga wa muuliza swali. ila yeye atakuwa ameonesha akili kubwa sana kuuliza swali kwasababu asingeuliza asingeondolewa ujinga.
Kama anajua ila anauliza kwa kejeli basi ni ujinga lakini kama mtu hajui ameuliza ni akili kubwa sana.Aisee kazi ipo.
Kwahiyo hali ya muulizaji ni kuwa ana akili kubwa.
Ifikie hatua muwe mnaukubali ukweli na kuacha ubishi wa kitoto, kitendo ulicho kifanya ni kuchagua kuukataa ukweli.
Nacheka sana, ngoja nikupe mfano :
1. Je baba ni mkubwa kuliko mtoto ?
2. Hivi kiwango cha joto la leo ni kilo ngapu ?
Haya maswali yanakupa ishara gani juu ya muulizaji ?
Nimeweka maana mbili huko juu za "Sophist" sasa wewe zikosoe, usitafute kichaka na kupoteza muda.
Nimeshaweka maana ya Sophist toka kwenye lugha ya Kiingereza, Kiswahili chake sina, naona unakimbia na kupoteza muda. Soma juu huko.
Walisahau baadhi ya vitu ndio maana tukasema ya kuwa kuuliza uliza hovyo si tabia nzuri na hupelekea kupotea kwa mtu.
Nakupa mfano wa kauli hii "Yule mwenyewe kusema kila anacho kiona hutosha kabisa kuwa Muongo". Unaelewa nini juu ya kauli hii adhim ?
Pili, naona hujadili mada zaidi ya kukimbia, hakuna aliye sema kuuliza ni ujinga, bali kile anacho uliza mtu hutupa ishara za hali ya mtu huyo, ndio maana tukasema mwenye mwenye kuuliza swali hilo a aingia humo na huwezi kumtoa humo ndio maana unaruka ruka tangu muda ule.
Kwahiyo wanao hoji kuhusu kula kwa Allah wanamjua Allah au kufa kwa Allah wanamjua Allah ? Sasa sijui unafikiria kwa kutumia nini kijana ? Jalia mtu anataka kujua, je anakuwa mjinga juu ya kile anachotaka kukijua au anakuwa na elimu juu ya hicho anachotaka kukijua ? Kijana naona huna hoja unapoteza muda.
Nacheka sana aisee. Wewe ndio ulie jifaragua kwamba unaijua maana ya "Sophist" lakini kwa ujingacwako nimekuoa maana mbili za tamko hilo, lakini badala ya kukosoa maana nilizo kupa, unataka nikupe maana ya kiswahili ya tamko hilo, sasa sijui inasaidia nini wakati maelezo ya tamko hilo yaoo wazi. Kijana unatakiwa kuacha kudakia mambo usiyo yaweza, matokeo yake badala ya kujadili hoja, unataka nikuambie "Sophist" kwa Kiswahili. Mimi nasema hivi "Sijui Kiswahiki cha Sophist".
Tuendelee....