future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 431
- 435
Sina ushahidi Ila wanasema tangu enzi za nabii AdamKwasababu hakuwepo kabla ya Muhammad... Au una ushahidi alikuwepo before Muhammad?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina ushahidi Ila wanasema tangu enzi za nabii AdamKwasababu hakuwepo kabla ya Muhammad... Au una ushahidi alikuwepo before Muhammad?
So who is you ? Non-believervitu vingine kujadili ni kuchoshana akili tu maana unajua Kabisa huwezi kupata jibu yani tusumbue vichwa kwa mambo yasiyowezekana kabisa kuyatatua!
Chanzo cha vyote ni Muumba =Mungu, ila chanzo cha Muumba hatujui . Uliza wataalamu wa 'big Bang theory "The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)
Siwezi kubishana na vitu visivyo na majibu nikupoteza muda mkipata majibu niiteni na subiria kusikia hizo theory zenu.
My felloSina jibu hapa..
Ngoja nisubscribe kushuhudia mpambano wa wamwanio na wasiomwamini.
hiiMaelezo yako wazi sana, sasa nashangaa unauliza swaki ambalo limeshajibiwa humo kwenye mada.We majibu yako ni yapi kwenye hilo swali?
Kivipi na utuoe ushahidi.Mungu ameumbwa na akili za binadamu.
Thibitisha kauli yako.Kwasababu hakuwepo kabla ya Muhammad... Au una ushahidi alikuwepo before Muhammad?
Thibitisha hili. Na utuambie kwa mujibu wa mtume Muhammad alimzungumizia vipi Allah.Kabla ya kubishana nani alimuumba Mungu ungeanza kwa kusema Mungu yupi...kama ni Allah tunamjua aliumbwa na Muhammad nk. N.k
Labda ungeanza kwa kutuonesha kwa thibati kabisa huyo mungu unayemzungumzia
Nataka majibu yako binafsi usinipe nukuu kutoka kwenye sites za atheismMaelezo yako wazi sana, sasa nashangaa unauliza swaki ambalo limeshajibiwa humo kwenye mada.
Hayo ndio majibu yangu na huo ndio msimamo wangu, sasa unapotaka majibu yangu wakati majibu yapo huko juu ni kupoteza muda.Nataka majibu yako binafsi usinipe nukuu kutoka kwenye sites za atheism
Kwa sababu ni kitu cha kufikirika tu hakipo kwenye uhalisia, hivyo kitu cha kufikirika hakina ushahidi.Kivipi na utuoe ushahidi.
Safi kabisa, umejuaje kama ni kitu cha kufikirika ?Kwa sababu ni kitu cha kufikirika tu hakipo kwenye uhalisia, hivyo kitu cha kufikirika hakina ushahidi.
Muumbaji ni mmoja tu MWENYEZIMUNGUThe question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)
Chanzo cha vyote ni Muumba =Mungu, ila chanzo cha Muumba hatujui . Uliza wataalamu wa 'big Bang theory "