Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,684
- 5,655
Wewe uliona nani Angeendelea kuuongoza Urais baada ya kifo cha JPM
Tundu lissuWewe uliona nani Angeendelea kuuongoza Urais baada ya kifo cha JPM
Ka
Tundu lissuWewe uliona nani Angeendelea kuuongoza Urais baada ya kifo cha JPM
Kati ya Mh. Kassim au Samiah?
ti ya Mh. Kassim au Samiah?
Mungu amsaidieTundu lissu
Hebu nimegee kidogo 'mbinyo' wa Jana ulihusu nini? Uliwalenga akina nani? Na wanazengo tutegemee nini?Kama ramli basi wewe umekwenda Masaki badala ya kwenda Bagamoyo; Ramli hiyo lazima itakupa matokeo hasi.
Kwani katiba yetu inasemaje.
Yaaa walau anasikiliza maoni ya watu na asingetuchinja chinja kama huyu bi mkubwaHuyu raisi wa Zanzibar angeshika hatamu za uongozi.
Unajua katika maisha ya mwanadamu, unaweza kuwa na kilo mia moja lkn ukatulizwa na mtu mwenye kilo 45 tena na mikwala juu ukabaki unakashangaa tu lkn mesg clearly deliveredHebu nimegee kidogo 'mbinyo' wa Jana ulihusu nini? Uliwalenga akina nani? Na wanazengo tutegemee nini?
Hilo ni swali la kijinga na kipumbavu kutoka kwa mtu mjinga na mpumbavu! Katiba ipo wazi na Serikali ya CCM inaiheshimu sana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Wewe uliona nani Angeendelea kuuongoza Urais baada ya kifo cha JPM
Kati ya Mh. Kassim au Samiah?
Huyu si ndiye alidanganya tena akiwa msikitini kuwa JPM yuko fit anachapa kazi wakati akijua kuwa alishaded?Majaliwa
MImi naona yupo mdau mmoja anaitwa Luca angetutoaWewe uliona nani Angeendelea kuuongoza Urais baada ya kifo cha JPM
Kati ya Mh. Kassim au Samiah?
Hili sio swali halali, tunaongozwa na katiba, likitokea lolote kwa presidaa, VP anachukua, hakuna hoja ya nani anafaa.Wewe uliona nani Angeendelea kuuongoza Urais baada ya kifo cha JPM
Kati ya Mh. Kassim au Samiah?
Hakujua!, wale jamaa zetu walimficha kila mtu!, hata ile ziara ya VC Tanga, the game was already over, Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5? ndio maana niliuliza ni nani aliejafanya presidaa akamtuma VP Tanga?.Huyu si ndiye alidanganya tena akiwa msikitini kuwa JPM yuko fit anachapa kazi wakati akijua kuwa alishaded?
Alright. Nimekupata. Mambo ya TAL juzi mahakamani. Right?Unajua katika maisha ya mwanadamu, unaweza kuwa na kilo mia moja lkn ukatulizwa na mtu mwenye kilo 45 tena na mikwala juu ukabaki unakashangaa tu lkn mesg clearly delivered