Nani adui wa CHADEMA - Freeman Mbowe au Tundu Lissu!?

Nani adui wa CHADEMA - Freeman Mbowe au Tundu Lissu!?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,250
Reaction score
3,451
Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!?

Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama!"

Lissu "Nitaendelea kupigania ninachokiamini,nitaendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo vya wakoma hadi washami wakimbie,nitaendelea kumlipua Mwenyekiti hadi siku ya uchaguzi"

Nani adui wa Chadema!!?
 
Mm nafikiri maadui wa nchi ni wale waliochangia MABILIONI JUZI PALE MLIMANI CITY.
MFANO YULE SINGASINGA TULIYEMWITA MHUJUMU UCHUMI MIAKA MI 4 TU ILIYOPITA
Alienda kwenye hafla ya ccm kama nani?
Lisu yupo gerezani kwa sasa. Hata tukimnyonga ukweli utabakia mwisho wa siku utaishi. Ukweli wa mtu haufi ndo mana yesu aliteswa lakini ukweli wa aliyoyasema unaishi mpaka Leo
No reforms no election ndo kosa la lisu
 
Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!?

Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama!"

Lissu "Nitaendelea kupigania ninachokiamini,nitaendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo vya wakoma hadi washami wakimbie,nitaendelea kumlipua Mwenyekiti hadi siku ya uchaguzi"

Nani adui wa Chadema!!?
Mkuu, mbona haukuliza swali hili kabla ya uchaguzi Mkuu wa CHADEMA ila umeona uulize leo tunapoelekea Uchaguzi Mkuu wa Taifa; kwani kuna nini?
 
Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!?

Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama!"

Lissu "Nitaendelea kupigania ninachokiamini,nitaendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo vya wakoma hadi washami wakimbie,nitaendelea kumlipua Mwenyekiti hadi siku ya uchaguzi"

Nani adui wa Chadema!!?
Katiba iliyopo hapa Tanzania pamoja na Sheria kandamizi zilizopo ndio Adui mkubwa zaidi wa CHADEMA na Watu wengine wote kabisa katika Nchi hii, hususani Watu wema.
Katiba na Sheria kandamizi zilizopo rafiki zake pekee waliopo ni wale Watu Waovu na Wahalifu waliopo katika Nchi hii.
 
Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!?

Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama!"

Lissu "Nitaendelea kupigania ninachokiamini,nitaendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo vya wakoma hadi washami wakimbie,nitaendelea kumlipua Mwenyekiti hadi siku ya uchaguzi"

Nani adui wa Chadema!!?
🚮🚮🚮
 
Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!?

Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama!"

Lissu "Nitaendelea kupigania ninachokiamini,nitaendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo vya wakoma hadi washami wakimbie,nitaendelea kumlipua Mwenyekiti hadi siku ya uchaguzi"

Nani adui wa Chadema!!?
Adui wa CDM ni CCM na vibaraka wake!! Elewa neno... (Vibaraka wake)
 
Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!?

Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama!"

Lissu "Nitaendelea kupigania ninachokiamini,nitaendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo vya wakoma hadi washami wakimbie,nitaendelea kumlipua Mwenyekiti hadi siku ya uchaguzi"

Nani adui wa Chadema!!?
Anayeenda kinyume na misimamo ya chama nayo ni NRNE
 
Mm nafikiri maadui wa nchi ni wale waliochangia MABILIONI JUZI PALE MLIMANI CITY.
MFANO YULE SINGASINGA TULIYEMWITA MHUJUMU UCHUMI MIAKA MI 4 TU ILIYOPITA
Alienda kwenye hafla ya ccm kama nani?
Lisu yupo gerezani kwa sasa. Hata tukimnyonga ukweli utabakia mwisho wa siku utaishi. Ukweli wa mtu haufi ndo mana yesu aliteswa lakini ukweli wa aliyoyasema unaishi mpaka Leo
No reforms no election ndo kosa la lisu
Tunatiki
 
Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!?

Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama!"

Lissu "Nitaendelea kupigania ninachokiamini,nitaendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo vya wakoma hadi washami wakimbie,nitaendelea kumlipua Mwenyekiti hadi siku ya uchaguzi"

Nani adui wa Chadema!!?
Mbowe ni chawaccm ni Dalali wa Siasa na sasa yupo kwenye kikundi cha kuidhoofisha chadema kinachogharamiwa mabilioni na ibilisi wa ccm
 
Mbowe adui namba moja wa chadema yeye na kamati zake ndo mwanzilishi wa vurugu zote hadi za kudai mali cha chama
 
Mbowe adui namba moja wa chadema yeye na kamati zake ndo mwanzilishi wa vurugu zote hadi za kudai mali cha chama
Njama za kumpeleka Lisu jela zimesukwa na mbowe akitaka lisu afie jela arejee chadema kwa mapinduzi haramu ya kishetani kama Lipumba wa CUF
 
Kwa kauli hizi mbili tutajua tu nani ni adui wa Chadema,tulisikia mengi mara Magufuli kaiua Chadema,mara Magufuli kamteka Saanane,mara Magufuli kampiga risasi Tundu Lissu,sasa kwa kauli hizi ebu tafakari,nani ni adui wa Chadema!?

Mbowe "Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama!"

Lissu "Nitaendelea kupigania ninachokiamini,nitaendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo vya wakoma hadi washami wakimbie,nitaendelea kumlipua Mwenyekiti hadi siku ya uchaguzi"

Nani adui wa Chadema!!?

..adui wa Chadema na Watanzania ni GENGE linaloimiliki Ccm.

..Ccm sio chama cha Watanzania wa kawaida tena, bali ni chama kinachomilikiwa na GENGE la mabilionea mafisadi.
 
Back
Top Bottom