Namtafuta Baba yangu aitwaye Peter Matiko

Namtafuta Baba yangu aitwaye Peter Matiko

Status
Not open for further replies.
Kama mama yako aliolewa na mwanaume mwingine akachukua jukumu la kukulea huyo ndie baba yako au mwanaume yoyte aliekulea mpka kufika hapo huyo ndie baba yako wacha kupoteza nguvu zako kumtafuta biological father maana usitegemee kupata chochote Cha maana zaidi ya salamu hakuna namna unaweza fanya kwa Sasa ukapata ule upendo halisi wa baba na mtoto.

Endelea kumtafuta ila nakusihi usitarajie makubwa baada ya kuonana nae.
Unatoa povu kama single mama vile..
 
Mambo Vipi Naitwa Noel Matiko, namtafuta baba yangu aitwaye Peter Matiko, walipotezana na mama yangu aitwaye Omega Macha maeneo ya njiro arusha miaka ya 1998

Sikuwahi kumuona ningefurahi sana kupata taarifa zake, kama akipata ujumbe huu au kwa yeyote anayejua alipo anitafute kwa simu namba 0676238390

Natanguliza shukrani!
Hakuwa mwanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha kweli?
 
Wew

Wewe..kila mtu afikirie vile anavyofikiria..unataka kuforce mawazo yako yafanane na yangu???!!..na ukikijua kilichofanya wazazi wake watengane inatosha..wazimu huu
Chaaaaaa! Dada stress zako usizilete hapa. Mtu anamtafuta baba yake nyie mnajifanya mnajua kushauri !!!!
Pole sana. Mie sijawahi kuwa na wazimu. Pole sana, unajua hata chizi huwaona walio wazima ni machizi kama yeye alivyo. Pole sana. mama D, huyu mwambie akae mbali nami kabisaa.
Mitano tena.😃😃😃
 
kumtafuta mzazi wako uliyempoteza sii dhambi, na kwa wakati niliofikia sihitaji msaada kutoka kwake, huenda nikawa msaada kwake, relax!

Kwani amesema anahitaji Msaada wako.

Relax , kama angekuwa anakutaka kukuona wewe basi ingekuwa rahisi kukupata kwa sababu anapajua kwa Mama yako.

Hana mpango na wewe ndio maana hakutafuti. Huyo Baba aliyekulea si umpe huo msaada. Yaani umelelewa kwa jasho la mtu mwingine leo uanze kumtafuta mtu ambae hajawahi kuwa na mpango na wewe.

Kulea watoto wa kambo ni tabu sana na haya ndio madhara. Mwanamke akishakuwa na mtoto Hapana , shida ndio kama hizi.

Mwanamke akiwa na mtoto yaani ampeleke kwa baba yake mapema kabisa nisije kupoteza nguvu zangu kumlea halafu likikuwa anaanza kumtafuta babake amsaidie, absurd yaani. Kama anakupenda si angekutafuta ,
 
Kama mama yako aliolewa na mwanaume mwingine akachukua jukumu la kukulea huyo ndie baba yako au mwanaume yoyte aliekulea mpka kufika hapo huyo ndie baba yako wacha kupoteza nguvu zako kumtafuta biological father maana usitegemee kupata chochote Cha maana zaidi ya salamu hakuna namna unaweza fanya kwa Sasa ukapata ule upendo halisi wa baba na mtoto.

Endelea kumtafuta ila nakusihi usitarajie makubwa baada ya kuonana nae.
Kumbe unawaza kupata chochote?
 
Dogo asilete jeuri achukue huu ushauri,

Kama hana shida has ya kutaka kuwezeshwa anahangaika nini badala amuwezeshe mama yake wapae uchumi wa kati kwanza,,,kisha taarifa zitamfikia huyo baba yake na atajileta mwenyewe.

Pia km ananjaa anahitaji kuwezeshwa asahau apambanie hali yake.


Au unahisi yule matiko wa bungeni atakuwa Dada ?yako???
😂😂😂😂 Jamani
 
Mambo Vipi Naitwa Noel Matiko, namtafuta baba yangu aitwaye Peter Matiko, walipotezana na mama yangu aitwaye Omega Macha maeneo ya njiro arusha miaka ya 1998

Sikuwahi kumuona ningefurahi sana kupata taarifa zake, kama akipata ujumbe huu au kwa yeyote anayejua alipo anitafute kwa simu namba 0676238390

Natanguliza shukrani!
Majina mengine bhana malaika mtoa baraka anaweza kukupita hivihivi wakati jina lako halisi unalo.... alisikika mlevi mmoja hivi hapa liquid pub
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom