Duh, kwahio unamtishia au vipi, sasa kama sio kutaja jina angepataje msaada wa haraka zaidi ? Nawe ulivyo mjinga kwanini usingeenda tu inbox kwake ukampa taarifa ambazo zingemsaidia kumuona baba yake,? Na mbona unamtuhumu kua hana shukrani? Yani mtoto apoteze muda kumlea mama yake mzazi aliyemzaa na kumbeba miezi 9,? Au nyie mmezaliwa na mbuzi hadi kufikia kuona MTU anayetunza au kutafuta mzazi wake anaonekana mjinga, wewe kumfichia habari na kumtishia imekusaidia nini au itakusaidia nini wewe binafsi? Yani hapa ndipo ambapo naona watanzania wengi ni BOGUS kabisa...ukitafuta mzazi unaonekana labda unataka Mali za urithi, wengine wanataka tu maongezi na kumfahamu mzazi wake halisi, au wewe una share katika hio familia yake mpya unayojitapa nayo ..jitathmini na jifikirie kijana.