Wakanda Prince
Member
- Oct 27, 2019
- 83
- 112
Mambo Vipi Naitwa Noel Matiko, namtafuta baba yangu aitwaye Peter Matiko Nyamohanga walipotezana na mama yangu aitwaye Omega Macha maeneo ya Njiro Arusha miaka ya 1998.
Nimeambiwa baba yake (babu yangu) alikuwa mwanajeshi moja ya kambi zilizopo jijini DSM na ndio maana yeye naye alienda jeshini.
Sikuwahi kumuona ningefurahi sana kupata taarifa zake, kama akipata ujumbe huu au kwa yeyote anayejua alipo anitafute kwa simu namba 0676238390.
Natanguliza shukrani!
Nimeambiwa baba yake (babu yangu) alikuwa mwanajeshi moja ya kambi zilizopo jijini DSM na ndio maana yeye naye alienda jeshini.
Sikuwahi kumuona ningefurahi sana kupata taarifa zake, kama akipata ujumbe huu au kwa yeyote anayejua alipo anitafute kwa simu namba 0676238390.
Natanguliza shukrani!
Last edited: