Namna tunavyojitengenezea wazee wa ovyo

Namna tunavyojitengenezea wazee wa ovyo

Bwashee una amka asubuhi hakuna ramani, ila kama rambo una zamia porini ku force.

Na hamna kitu ina mtesa mwanaume ka kuona familia yake ina lala njaa, au kulala nje.

Una mkuta mtu town kachuchumaa haelewi kipi ni kipi, ana force apate hata 2000 familia ile.

Halafu huyu ana ongea nini vile?, shubamiti
Aysee ngoja nikuache naona ume panic mkuu
 
Bwashee una amka asubuhi hakuna ramani, ila kama rambo una zamia porini ku force.

Na hamna kitu ina mtesa mwanaume ka kuona familia yake ina lala njaa, au kulala nje.

Una mkuta mtu town kachuchumaa haelewi kipi ni kipi, ana force apate hata 2000 familia ile.

Halafu huyu ana ongea nini vile?, shubamiti
Haijui dunia huyo bwashee, watu wanafosi afe kipa afe beki , anafikiri njia za kutafuta lazima zifanane
 
Nakubaliana na wewe na changamoto za mfumo zipo. Fursa sio nyingi kama inavyotakiwa
Lakini pia tukisema ni mfumo tu, tunakuwa tumewavua watu responsibility yao binafsi.
Kwa sababu hata ndani ya mfumo huo huo Kuna watu wanaanza biashara ndogo na zinakua
Kuna wanaweka akiba kidogo kidogo na wanapiga hatua
Kuna wanaotafuta skills na kufanya innovation kwenye currently solutions na wanapiga hela
Mfumo unaweza kuwa mgumu, lakini hauwazuii wote
kinachotofautisha wengi ni maamuzi wanayofanya na nidhamu ya fedha + vision
Humu ndani kuna "Jamiiforums effect". Yaani wengi wetu humu tumesoma, tumeajiriwa, tunaishi mijini, tumepata mwanzo mzuri kwenye maisha.

Lakini je, utazungumzia vipi 60-65% ya watanzania wanaoishi vijijini?

Tunapotezeaje kwamba ni chini ya 10% ya watanzania ndo wana elimu ya chuo?

Mimi naamini ni suala la mfumo zaidi, na ndio maana limekaa kikanda. Kusini mwa Sahara kote kunasifika kwa umasikini...
 
Mkuu mbona unatukana tena 😂
Una jua mwanaume ndio kiumbe pekee ana anza na value ya 0, mwanamke tayari yuko ahead!.

Kijana wa miaka 18 na binti wa 18 hawa lingani, tayari wamesha tofautishwa kwenye jamii.

Mwanamke mpaka ana pigiwa debe kuinuliwa, what about a man nah nani alisha kisikia kilio chake?

so badala ya kusema mna fanya hiki na kile ambacho ni rahisi, jaribu kuja na njia zinazo fanya kazi za kumuinua au kusikika kwa kilio cha mwanaume
 
Wewee
Bodaboda wana hela tatizo kubwa si sket
Walioko masokoni na hapa mjini
Biashara yangu inategemea sana maboda
Boda kulaza 40 ni kawaida sana

Na siku hizi 90% wana pikipk zao
Ukishaendesha zaidi ya mwaka hujapata yako basi wewe ni mjinga na wapo wachache
Tatizo lenu hizo story mnahaditjiana nyinyi kwa nyinyi
Ila ulizeni boda anaepiga trip around city center na kwenye masoko makubwa hapo dar
Shida ya hao jamaa nyege ni kilo mbili kila wakati yaani haishukagi
😂😂😂
 
Sawa, nakubaliana na wewe maboda wengi wanapiga hela, hasa maeneo ya town na masoko makubwa. Hilo halina ubishi.
Lakini hoja yangu haikuwa kama wanaingiza au hawaingizi.
Hoja yangu ni hii
Je hiyo hela ni endelevu?
Akiumwa wiki moja tu, kipato kinakata
Ajali ikitokea, maisha yanabadilika ghafla
Pikipiki ikiharibika, income inasimama
Hakuna mfumo wa akiba au uwekezaji kwa wengi
Na ukweli mwingine, hata kama wanapata 40k–60k kwa siku, wengi wanatumia bila plan ndio maana wengine wanakaa miaka lakini bado hawana stability.
Kwa hiyo point sio “wana hela au hawana”.
Point ni wana mfumo wa hiyo hela kuwasaidia kesho?
Uko sahihi sana.
 
Humu ndani kuna "Jamiiforums effect". Yaani wengi wetu humu tumesoma, tumeajiriwa, tunaishi mijini, tumepata mwanzo mzuri kwenye maisha.

Lakini je, utazungumzia vipi 60-65% ya watanzania wanaoishi vijijini?

Tunapotezeaje kwamba ni chini ya 10% ya watanzania ndo wana elimu ya chuo?

Mimi naamini ni suala la mfumo zaidi, na ndio maana limekaa kikanda. Kusini mwa Sahara kote kunasifika kwa umasikini...
Mkuu hata huko huko vijijini Kuna wanaobadilika na kukua taratibu taratibu ingawa speed haiwezi kuwa sawa na WA mjini lakini kama ikatokea wakabadilika hata kwa 1% ni hatua
 
Maafisa usafirishaji ✅️
Bodaboda ❌️
Usafiri wangu pendwa home to kariakoo
🏍 😍
 
Kijana unakimbizana na bodaboda/bajaji kuanzia asubuhi mpaka usiku, mwisho wa siku unabaki na 20k–30k.
Ndani ya hiyo 30k una mwanamke/mke unaishi nae, deni linakusubiri, chombo ni cha mkopo, home Kijijini simu hazishi bado kuna matumizi ya hapa na pale.

Ukishika pesa kidogo inaisha hapo hapo. Maana una kausha damu kadhaa
Hakuna akiba. Hakuna plan (maana hata muda wakuwaza hiyo plan huna muda wote kichwa Cha moto)

Unajipa moyo “niko busy”, lakini ukweli ni huu uko stuck.

Miaka inaenda mara 50 paaap
Hakuna kinachokua.
Hakuna unachojenga.
Mwisho wake?
Unakuja kuwa mzee wa kutegemea wengine.

Sio kwamba hizi kazi ni mbaya hapana.
Lakini bila plan, zinakumaliza kimya kimya tahamaki 60 hii hapa 🤣🤣🤣 nacheka kama mazuri
Unacheka kwa sababu ya upumbavu wako! Bidabida nwenye akili ana hela kuliko mwajiriwa wa halmashauri!
 
Kijana unakimbizana na bodaboda/bajaji kuanzia asubuhi mpaka usiku, mwisho wa siku unabaki na 20k–30k.
Ndani ya hiyo 30k una mwanamke/mke unaishi nae, deni linakusubiri, chombo ni cha mkopo, home Kijijini simu hazishi bado kuna matumizi ya hapa na pale.

Ukishika pesa kidogo inaisha hapo hapo. Maana una kausha damu kadhaa
Hakuna akiba. Hakuna plan (maana hata muda wakuwaza hiyo plan huna muda wote kichwa Cha moto)

Unajipa moyo “niko busy”, lakini ukweli ni huu uko stuck.

Miaka inaenda mara 50 paaap
Hakuna kinachokua.
Hakuna unachojenga.
Mwisho wake?
Unakuja kuwa mzee wa kutegemea wengine.

Sio kwamba hizi kazi ni mbaya hapana.
Lakini bila plan, zinakumaliza kimya kimya tahamaki 60 hii hapa 🤣🤣🤣 nacheka kama mazuri
Kila aya imebeba uhalisia wa kutisha na kusikitisha sana😭😭😭
 
Sio kwamba hizi kazi ni mbaya hapana.
Lakini bila plan, *zinakumaliza kimya kimya tahamaki 60 hii hapa😭
 
Back
Top Bottom