Namna tunavyojitengenezea wazee wa ovyo

Namna tunavyojitengenezea wazee wa ovyo

Jane Msowoya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
5,042
Reaction score
9,652
Kijana unakimbizana na bodaboda/bajaji kuanzia asubuhi mpaka usiku, mwisho wa siku unabaki na 20k–30k.
Ndani ya hiyo 30k una mwanamke/mke unaishi nae, deni linakusubiri, chombo ni cha mkopo, home Kijijini simu hazishi bado kuna matumizi ya hapa na pale.

Ukishika pesa kidogo inaisha hapo hapo. Maana una kausha damu kadhaa
Hakuna akiba. Hakuna plan (maana hata muda wakuwaza hiyo plan huna muda wote kichwa Cha moto)

Unajipa moyo “niko busy”, lakini ukweli ni huu uko stuck.

Miaka inaenda mara 50 paaap
Hakuna kinachokua.
Hakuna unachojenga.
Mwisho wake?
Unakuja kuwa mzee wa kutegemea wengine.

Sio kwamba hizi kazi ni mbaya hapana.
Lakini bila plan, zinakumaliza kimya kimya tahamaki 60 hii hapa 🤣🤣🤣 nacheka kama mazuri
 
Wewee
Bodaboda wana hela tatizo kubwa si sket
Walioko masokoni na hapa mjini
Biashara yangu inategemea sana maboda
Boda kulaza 40 ni kawaida sana

Na siku hizi 90% wana pikipk zao
Ukishaendesha zaidi ya mwaka hujapata yako basi wewe ni mjinga na wapo wachache
Tatizo lenu hizo story mnahaditjiana nyinyi kwa nyinyi
Ila ulizeni boda anaepiga trip around city center na kwenye masoko makubwa hapo dar
Shida ya hao jamaa nyege ni kilo mbili kila wakati yaani haishukagi
 
Kijana unakimbizana na bodaboda/bajaji kuanzia asubuhi mpaka usiku, mwisho wa siku unabaki na 20k–30k.
Ndani ya hiyo 30k una mwanamke/mke unaishi nae, deni linakusubiri, chombo ni cha mkopo, home Kijijini simu hazishi bado kuna matumizi ya hapa na pale.

Ukishika pesa kidogo inaisha hapo hapo. Maana una kausha damu kadhaa
Hakuna akiba. Hakuna plan (maana hata muda wakuwaza hiyo plan huna muda wote kichwa Cha moto)

Unajipa moyo “niko busy”, lakini ukweli ni huu uko stuck.

Miaka inaenda mara 50 paaap
Hakuna kinachokua.
Hakuna unachojenga.
Mwisho wake?
Unakuja kuwa mzee wa kutegemea wengine.

Sio kwamba hizi kazi ni mbaya hapana.
Lakini bila plan, zinakumaliza kimya kimya tahamaki 60 hii hapa 🤣🤣🤣 nacheka kama mazuri
Bodaboda wana maisha mazuri kuliko idadi kubawa sana ya waajiriwa na wafanyabiashara wadogo
 
1000122213.png
nje ya mada wakuu
 
Wewee
Bodaboda wana hela tatizo kubwa si sket
Walioko masokoni na hapa mjini
Biashara yangu inategemea sana maboda
Boda kulaza 40 ni kawaida sana

Na siku hizi 90% wana pikipk zao
Ukishaendesha zaidi ya mwaka hujapata yako basi wewe ni mjinga na wapo wachache
Tatizo lenu hizo story mnahaditjiana nyinyi kwa nyinyi
Ila ulizeni boda anaepiga trip around city center na kwenye masoko makubwa hapo dar
Shida ya hao jamaa nyege ni kilo mbili kila wakati yaani haishukagi
Sawa, nakubaliana na wewe maboda wengi wanapiga hela, hasa maeneo ya town na masoko makubwa. Hilo halina ubishi.
Lakini hoja yangu haikuwa kama wanaingiza au hawaingizi.
Hoja yangu ni hii
Je hiyo hela ni endelevu?
Akiumwa wiki moja tu, kipato kinakata
Ajali ikitokea, maisha yanabadilika ghafla
Pikipiki ikiharibika, income inasimama
Hakuna mfumo wa akiba au uwekezaji kwa wengi
Na ukweli mwingine, hata kama wanapata 40k–60k kwa siku, wengi wanatumia bila plan ndio maana wengine wanakaa miaka lakini bado hawana stability.
Kwa hiyo point sio “wana hela au hawana”.
Point ni wana mfumo wa hiyo hela kuwasaidia kesho?
 
Punguza kujipa umuhimu kiasi cha kuona una weza I cover nafasi ya mwanaume kirahisi hivyo.

Vita ya mwanaume ni ngumu hasa sisi tulio anza sifuri, yaani una kabidhiwa jezi na mchezo hauja uelewa.

Kama kijana akiamua aka jipambanie kibinafsi, maisha ni rahisi ila ana anzaje akati nyumbani kukavu?

Picha lina anza nyumba ya kupanga, maza au faza mgonjwa, madogo 3 wana hitaji support.

Daily natoa heshima kwa ma bro, ma father wanao pambana kupeleka msosi mezani.

Wee acha ungese
FB_IMG_17716885332656085.jpg
 
Punguza kujipa umuhimu kiasi cha kuona una weza I cover nafasi ya mwanaume kirahisi hivyo.

Vita ya mwanaume ni ngumu hasa sisi tulio anza sifuri, yaani una kabidhiwa jezi na mchezo hauja uelewa.

Kama kijana akiamua aka jipambanie kibinafsi, maisha ni rahisi ila ana anzaje akati nyumbani kukavu?

Picha lina anza nyumba ya kupanga, maza au faza mgonjwa, madogo 3 wana hitaji support.

Daily natoa heshima kwa ma bro, ma father wanao pambana kupeleka msosi mezani.

Wee acha ungese
View attachment 3574488
Yeah umewaza kama mimi, naunga mkono hoja yako
 
Sensa ya 2022 ilionesha 49% ya watz wako chini ya miaka 18.

Nafikiri kuna mahali nilisoma waliopo chini ya 35 ni 70%.

Kuna wategemezi wengi sana, na chini ya CCM nchi haikui.

Hawa wategemezi watakapofikia utu uzima huku fursa ni chache, maisha yatakuwa magumu sana.
Sio kwamba hawajipangi, hili ni suala la kimfumo.
Nakubaliana na wewe na changamoto za mfumo zipo. Fursa sio nyingi kama inavyotakiwa
Lakini pia tukisema ni mfumo tu, tunakuwa tumewavua watu responsibility yao binafsi.
Kwa sababu hata ndani ya mfumo huo huo Kuna watu wanaanza biashara ndogo na zinakua
Kuna wanaweka akiba kidogo kidogo na wanapiga hatua
Kuna wanaotafuta skills na kufanya innovation kwenye currently solutions na wanapiga hela
Mfumo unaweza kuwa mgumu, lakini hauwazuii wote
kinachotofautisha wengi ni maamuzi wanayofanya na nidhamu ya fedha + vision
 
Yeah umewaza kama mimi, naunga mkono hoja yako
Bwashee una amka asubuhi hakuna ramani, ila kama rambo una zamia porini ku force.

Na hamna kitu ina mtesa mwanaume ka kuona familia yake ina lala njaa, au kulala nje.

Una mkuta mtu town kachuchumaa haelewi kipi ni kipi, ana force apate hata 2000 familia ile.

Halafu huyu ana ongea nini vile?, shubamiti
 
Punguza kujipa umuhimu kiasi cha kuona una weza I cover nafasi ya mwanaume kirahisi hivyo.

Vita ya mwanaume ni ngumu hasa sisi tulio anza sifuri, yaani una kabidhiwa jezi na mchezo hauja uelewa.

Kama kijana akiamua aka jipambanie kibinafsi, maisha ni rahisi ila ana anzaje akati nyumbani kukavu?

Picha lina anza nyumba ya kupanga, maza au faza mgonjwa, madogo 3 wana hitaji support.

Daily natoa heshima kwa ma bro, ma father wanao pambana kupeleka msosi mezani.

Wee acha ungese
View attachment 3574488
Mkuu mbona unatukana tena 😂
 
Back
Top Bottom