Namna tunavyojitengenezea wazee wa ovyo

Namna tunavyojitengenezea wazee wa ovyo

Bodaboda wana maisha mazuri kuliko idadi kubawa sana ya waajiriwa na wafanyabiashara wadogo

Labda waajiriwa wa muhindi.

Mwalimu analipwa take home 700k, Hapo tayari ana bima ya yeye, mke wake na watoto na mzazi mmoja.

Anafanya kazi ahsubuhi mpaka saa 9, Jumamosi na jumapili haendi kazini.

Utamfananisha na boda boda anafanya kazi masaa 15/16 per day?

Usikute hata hyo boda boda kapewa na Mwal.
 
Labda waajiriwa wa muhindi.

Mwalimu analipwa take home 700k, Hapo tayari ana bima ya yeye, mke wake na watoto na mzazi mmoja.

Anafanya kazi ahsubuhi mpaka saa 9, Jumamosi na jumapili haendi kazini.

Utamfananisha na boda boda anafanya kazi masaa 15/16 per day?

Usikute hata hyo boda boda kapewa na Mwal.
Laki saba kwa dar es salaam unaona ni pesa?? Ya maana wewe bado mdogo sana.
 
Labda waajiriwa wa muhindi.

Mwalimu analipwa take home 700k, Hapo tayari ana bima ya yeye, mke wake na watoto na mzazi mmoja.

Anafanya kazi ahsubuhi mpaka saa 9, Jumamosi na jumapili haendi kazini.

Utamfananisha na boda boda anafanya kazi masaa 15/16 per day?

Usikute hata hyo boda boda kapewa na Mwal.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuingiza hela kwa siku na kuingiza hela kwa mwezi.
 
Nashaur achana na huo usafiri..kapande hupo pembezoni still mwaka wa pili now naishi kwa maumivu
Nitapanda nini na daladala siwezi
Unajua msongamano wa daladala ?
Kuna harufu za kila rangi
Mala mia bajaji ila ndio hivyo nishakua adcted na pkpk
Nitapunguza kuacha labda niki nunua ki IST 😁

Asante kwa kujali Dr🤝
 
Ni kweli kabisa mdau, Ndomaana sisi kama #OasispaylessEnergyTanzania tukaja na suluhisho kwa bodaboda, nalo ni pikipiki za umeme ambazo zinaokoa pesa ambayo inapotea kwenye vituo vya mafuta, na kuzirudisha kwenye ujenzi wa uchumi binafsi wa familia na nchi...
Tupigie Sasa 0671512733
408173626.jpg
898775305.jpg
 
Laki saba kwa dar es salaam unaona ni pesa?? Ya maana wewe bado mdogo sana.

Kwamba laki saba sio pesa, Kuna watu wanalipwa 10k per day kwa kushinda site kazi ngumu ahsubuhi mpaka jioni.

Boda boda kama anaingiza 30k kwa siku maanake hyo ni 900,000/= kwa mwezi hapo tumeashume kaingia kazini kila jua linapo chomoza na kuzama.

Kuna tofauti gani hapo? Hapo unakuta mwaimu tayari ana side hussle mtaani za kupiga saa 10 mpaka saa nne usiku, huyo boda atamkuta lini?

Mwalimu akistaafu anakiinua mgongo tayari hata kama ni mil60, Huyo boda boda atamkuta lini huyu mwalimu?

Boda boda sio kazi, Ni temporaly job watu wanafanya huku wanatafuta mishe nyingine, Ndo maana hakuna boda boda anafanya hyo kazi mpaka anastaafu tafsiri yake hailipi.
 
Kama kuna watu siku hizi wanaomiliki hela ni bodaboda ndugu yangu. Hao watu cku hizi wameelimika hata kuoga wanaoga. Boda wa sasa wanachangiana hela daily na unakuta mtu ana michango hata zaidi ya 3 daily ya 10k. Mimi boda ndio iliniinua kimaisha mpaka hapa nilipo japo sivumi lakin nimo coz silipii pango naish kwangu na mambo yangu niliyoyaanzisha tokana na bodaboda yanaendelea na kuongezeka. Changamoto iliyopo ni sketi tu lakini ukiamua unafaulu. Nyege kila mda cjui ni kwa sababu ya ule mtikisiko wa pkpk unaziteremsha cjui. Ila boda wana hela kuzidi ccm
 
Wewe unasema wazee/ uzeeni lol

Kuna vijana, wanawake,na watu wanaoishi vijijini ambao umaskini umewafanya wawe Dependent CURRENTLY wala sio uzeeni..lol

Poverty ina affect financial literacy, in a sense that wale waliopata chance ya kusoma zaidi na kuwa na kazi inayolipa zaidi ndio wengi in average wanaojua saving/ banking access kuliko wasiosoma. sasa ukiangalia vizuri wale wasiosoma kupata elimu nzuri na kuwa na kazi nzuri wengi wanatoka kwenye familia maskini. In other words kuna watu wako disadvantaged earlier in their lives na hio inadetermine maisha yao ya uzeeni yatakuwaje..

Pia poverty ina affect maisha ya wengi mfano bodaboda sio kwamba wengine hawajui saving ila maisha yao wengi ni for survival, huwezi kufikiria uzeeni utakuwaje ilihali kuna intermediate needs ambazo hujazi cover/ meet.

Ingewezekana kabisaa bodaboda na watu wanaofanya kazi private sector wakalipa tax minimum amount na serikali ikawacover uzeeni kuwapa pension. Ila social protection kwenye nchi za kimaskini ni kama hakuna , wengi marais wanaotoka kwenye hizo nchi wanakimbilia chaka kwamba nchi ni maskini hivyo funds zinakuwa prioritised na haziwezi ku cover kila kitu WHILE TUNAONA VIONGOZI WAKI MISUSE PUBLIC FUNDS ....MSONYOOOOO
 
Sensa ya 2022 ilionesha 49% ya watz wako chini ya miaka 18.

Nafikiri kuna mahali nilisoma waliopo chini ya 35 ni 70%.

Kuna wategemezi wengi sana, na chini ya CCM nchi haikui.

Hawa wategemezi watakapofikia utu uzima huku fursa ni chache, maisha yatakuwa magumu sana.
Sio kwamba hawajipangi, hili ni suala la kimfumo.
Ni kweli, 70% ya Watanzania walizaliwa baada ya 1995, hapo ni wakati wa sensa ya 2022 ina maana walikua chini ya miaka 30.
 
Wewe unasema wazee lol

Kuna vijana, wanawake,na watu wanaoishi vijijini ambao umaskini umewafanya wawe Dependent CURRENTLY wala sio uzeeni..lol

Poverty ina affect financial literacy, in a sense that wale waliopata chance ya kusoma zaidi na kuwa na kazi inayolipa zaidi ndio wengi in average wanaojua saving/ banking access kuliko wasiosoma. sasa ukiangalia vizuri wale wasiosoma kupata elimu nzuri na kuwa na kazi nzuri wengi wanatoka kwenye familia maskini. In other words kuna watu wako disadvantaged earlier in their lives na hio inadetermine maisha yao ya uzeeni yatakuwaje..

Pia poverty ina affect maisha ya wengi mfano bodaboda sio kwamba wengine hawajui saving ila maisha yao wengi ni for survival, huwezi kufikiria uzeeni utakuwaje ilihali kuna intermediate needs ambazo hujazi cover/ meet.

Ingewezekana kabisaa bodaboda na watu wanaofanya kazi private sector wakalipa tax minimum amount na serikali ikawacover uzeeni kuwapa pension. Ila social protection kwenye nchi za kimaskini ni kama hakuna , wengi marais wanaotoka kwenye hizo nchi wanakimbilia chaka kwamba nchi ni maskini hivyo funds zinakuwa prioritised na haziwezi ku cover kila kitu WHILE TUNAONA VIONGOZI WAKI MISUSE PUBLIC FUNDS ....MSONYOOOOO
Angalau wewe umeelewa hoja yangu na umejibu bila mihemko

Kuna NSSF Hawa wana ile kuchangia kwa hiari kwa mwezi nadhani ni from 20k kwa mwezi sijajua shida nini vijana wengi hawachangii
 
Mkishaanzaga Kuona mwanga kwa mbaali mnageuka motivational speakers na Kuona wengine hawana plan.
 
Back
Top Bottom