Raha ilioje Fanya fasta nikale ugali n maharage ya bure
hat sitajitetea kwa maana naenda kwenye usalama nalinda bure
Do it men
Unajitoa akili eeeehhhh??
Nilimaanisha kabisaaa na nakushangaa unavyojidai hukujua ...!!!!!!!!!!
Kwa hii sentensi naamini utakuwa umefuta kauli yako ya kutonipenda tena, na kuniogopa. naamini mapenzi yetu yatarudi kama zamani honey wangu mwenye faith kama ya Maria Magdalena.
Ona sasa...,!
Aisee ......!!
So u meant t last time u said t to me....
situmii vimeo