mbeya yetu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 487
- 102
Ni vitu vya kawaida kaka Ntuzu limwata likikolea sisi raia wema wa jamhuri ya Tz tunapopambana kuwaamsha usingizini tunaonekana waongo.... haturudi nyuma kamwe sisi... hadi tukukomboe mateka wa Khantwe. Bora Asprin na Kaizer hawajui huu uhusiano wenu maana pangukua pameshachimbwa siku nying sana apa...kuna fununu kati yao kuna mateka pia.. tusubirie udaku special edition 4 mwallu, muuza ubuyu FYI
Kuna mmbea kanambia umeniita. Kuna nini hapa?
tumbooI rarely use that phrase.......