Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Nenda tu bhana mi niko na my ngosha hapa nna shida gani
usisahau, mahawara hatuachani....
Nenda tu bhana mi niko na my ngosha hapa nna shida gani
Huyu babu anapatwa kichaa sasa!
Shindwaaa..... Rudi nyuma shetani.
Shindwaaa..... Rudi nyuma shetani.
We utakua haunaga njia kuu wewe
Mwaka mzima unatafuta kazi??
Siku hizi akiamua mapepo yatoke yanambishia...."oyaaa,usituzingue na hizo kelele"
Kuna nini kati yako na mshiriki Khantwe
rushwa akupe nani wewe? Rushwa anapewa hakimu, we kazi yako kutumikia kifungo tu.
Aiseee .....
Ndio kawaida yao ...!!
Umenifanya nicheke kwa nguvu babu yangu jamani
Mume wangu swahiba ako.....hata Hivyo....moyo wangu una la kusema mbele ya moyo wako.....rudi nyuma shetani.Ushahidi wa kimazingira umethibitisha kuwa moyo wa mwallu hauna la kusema mbele ya moyo wa mimi babu yenu ODM
Wii mie naeleza nlichokiona tu...si vinginevyoMy wii kwa uchochezi....nlishakuzoea lakini
Dada babu kachanganyikiwa huyo!
Huoni maneno yanavyomtoka?!
Anataka kuhamishia mahaba kwa ndugu yetu mwallu