Yan hili neno waga wanaambiwa wasio na mikono ya birika tu...a.k.a wahongaji
kumbe wataka kudanganywa eeeh!!
Kwanini mkuu?
Inamaana hupendi?
Duh! hata mama Matesha hujawahi kumuambia?
koho koho mm mmm
Duh! hata mama Matesha hujawahi kumuambia?
Amna bby jaman nmechangia tu ila.i luv you so much from the botto.m of my heart
Shangaa na wewe eti lol....hata kwa mama Matesha hajawahi kumaanisha...
Wewe ni mwanamke?
i always mean it