Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

We kibabu koma....mimi huyuhuyu?

Wewe huyuhuyu. Tena ukinletea za kuleta nakupiga chini azaran afu nguvu zangu nazihamishia kwa ICHANA. İ hold the four aces
 
Last edited by a moderator:
Angalia usije kunianzishia sredi hapa. kwenye kesi kama hii yetu huwa sishindwagi. ikibidi rushwa itatumika.

Mimi nikuanzishie siredi kabisa.....
Rushwa leta italilika then utachoma mishikaki
 
mi ya kuandika kwenye makaratasi na wall ya simu..ka mara 100 hivi
 
mdomo wangu ni mzito sana nashindwaga kabisa kulisema hilo neno atleast sikuhizi najaribu jaribu..
 
Wewe huyuhuyu. Tena ukinletea za kuleta nakupiga chini azaran afu nguvu zangu nazihamishia kwa ICHANA. İ hold the four aces

Nenda tu bhana mi niko na my ngosha hapa nna shida gani
 
Last edited by a moderator:
Mimi nikuanzishie siredi kabisa.....
Rushwa leta italilika then utachoma mishikaki

rushwa akupe nani wewe? Rushwa anapewa hakimu, we kazi yako kutumikia kifungo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom