Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

tunalitamka sana lakin hadi kujua kama mtu alikuwa anamaanisha ni shida sana
 
tunalitamka sana lakin hadi kujua kama mtu alikuwa anamaanisha ni shida sana

Wewe unamaanisha au?

Unamkumbuka wa kwanza kumuambia hivyo?

Yupo wapi?
 
Hivi unakumbuka ni mara ngapi umeshawahi kulitamka hilo neno kwenye maisha yako kwenye suala la mapenzi?

Je unamkumbuka wa kwanza uliyemuambia hivyo?

Yupo wapi sasa?


Damn .......
Nikimkumbuka wa kwanza kumuambia hivyo leo ni muke ya mutu na ana watoto .....

Halafu nimeshawahi kulisema kama maraaaaaaaa ......mmmhhhhhhh........ngoja niendelee kukumbuka

Kama mara 6 hivi ........

Wewew je?

Achana na zile za uongo,nataka za ukweli!

Yan hili neno waga wanaambiwa wasio na mikono ya birika tu...a.k.a wahongaji
 
Mkuu ya kweli haya?

Eti babu Asprin ni kweli?

Ngoja niwaite Dark City na Mtambuzi waje hapa!

Ukiacha hii ya kimasihara ya kuwatamkia wahudumu wa bar na hawa vijukuu vya vya JF.... hii makitu sikumbuki kama nimeitamka seriously. ila kwa kuiandika kwenye vikadi na vibarua enzi za utineja, nimeandika sana tu...
 
Last edited by a moderator:
like

hey i feel you ,i like you so much,you are always in my cerebellum kwi kwi

Ongezea hizi ;

Yua my kapeti,my silingibodi,my pumzi,my fuuti,my hati ......

CC: snowhite .......!!
 
Last edited by a moderator:
Ukiacha hii ya kimasihara ya kuwatamkia wahudumu wa bar na hawa vijukuu vya vya JF.... hii makitu sikumbuki kama nimeitamka seriously. ila kwa kuiandika kwenye vikadi na vibarua enzi za utineja, nimeandika sana tu...

Duh! hata mama Matesha hujawahi kumuambia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom