Najuta kuoa

Najuta kuoa

Umetupa mabaya yake, , ya kwako hujatupa

Hili ni Tatizo kubwa la story ya upande mmoja
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!

Pole sana Brother . Inaoneka mpole sana , gawa vibao mara mbili mara tatu uone . Lazima akuheshimu , labda kama amepata mchepuko
 
Na huwa napenda kabla sijamuomba game huwa naandaa masingira toka asubuhi utani wa hapa na pale, hata kumuogesha ,kumsifia hata kwa kinafiki sasa jioni nahisi ni kusukuma tu kama mlevi LAKINI utaskia oooh kiuno chauma,ooh sjui nini subir kidogo nipukzk dk chache ohhh blabla kibao. Akilala ni fofofo mpaka asbuh. Saa 1:30 usiku tu usingizi mororo. Namimi nikiona hivyo,natoka kupombekaaa. Nimepanga kuchepuka

Pole sana mkuu
 
Unalilia kama vile sio mwanaume. Usipende amani wakati wa vita.
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
Acha kumdekeza huyo mwanamke, wakati mwingine ndoa bila ubepari lazima ikushinde inawezekana ulimchekelea mwanzoni.
 
Achana nae ndugu atakupasua kichwa, muda huu mwamshe mwambie kiupole kwamba umeshindwa kuendelea na maisha hayo! Mimi mwenye nakwambia najuta kuowa, nasitarudia kosa kama hilo kamwe! Maisha nimafupi sana kuwa stressed kkwq sababu ya mwanamke ndugu.
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
Pole sna...
IMG-20190616-WA0000.jpeg
 
Hizo dalili uliziona hata kabla hujamuoa ila ukajifanya utamvumilia, MKUU hapo hakuna biashara tena jichunguze kama kuna aina ya kero yoyote unaisababisha kama hakuna piga chini maisha bado matamu huku nje.
Mkuu umesema ukweli.
Inaonekana kabla hajamuoa alikuwa anatumia nguvu nyingi kumbembeleza kimapenzi na akajua kwamba akishamuoa itakuwa mdebwedo.
 
Unamfananisha na nani ambaye yuko tofauti na huyo?kwani ulishawahi kuishi na mwingine ukaona kuna tofauti?au unapewa ushauri na walioshindikana kwahiyo unahisi huyo wako ana kasoro?Nenda nae taratibu,tafuta wakubwa waliomzidi wamuelekeze jinsi ya kuishi na mwanaume kwenye ndoa,kinyume cha hapo sioni uharibifu mkubwa bado anarekebishika huyo...
Hata mm naona hyo kesi ni ndogo sana.
Nasema kesi ni ndogo kwa sababu hawajagombana hadi kufikia kutishiana maisha.
Ni ishu tu ya kutumia akili tu kumchekecha tu huyo mwanamke, inawezekana Kuna kitu anakitaka ila Anashindwa kusema.
Kwa hyo ingekuwa ni Mimi ningemnyenga na vizawadi vidogo vidogo angefurah badae angefunguka tu anachokitaka.
Ila Kama hujazoea wanawake utatumia nguvu nyingi mwisho wake utaharibu halaf kesi inageuka kwako unaonekana ww ndio una hatia.
 
Unadeka halafu una maisha ya muvi. Huyo mke hana neno. Unataka kushukuriwa mno. You are a disgrace!
Hapana mkuu huwa niko vizuri sana hapo. Huwa namuandaa toka nikiwa kazini na hata kwa SMS ila anajibu short saaaana. Najaribu kurudi hata na vitu vidogo dogo lakini hata ile ku appreciate hakuna. Anasema huwa anafurah Seema haniambii. Mbona mtoto ananishukuru waaao baba nakupenda hata baba si unanipendae!!!nasema ndio mwanangu ananirukia.!! Kwanii asijufunze hata kwa huyu dogo. Kiukwel dogo ndo ananifariji
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
Muulize kama wewe ni kaka yake au mjomba wake.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Mkiambiwa oa kabila lako mnasema mapenzi hayaangalii kabila. Ona sasa unavyopelekeshwa..

Jitahidi uwe unampiga hata mara mbili kwa mwezi, ndio wanatakaga.
Muda mwingine kabila pia ni sababu mm naamini.
Kuna jirani yangu mmoja maeneo ninapoishi ameoa mkurya na amemzalisha mtoto mmoja wanaishi wote.
Basi Yule mwanamke yuko huru sana kufanya atakavyo bila uwoga wowote.
Wanaume wa nje wanapiga sana,yaani ukiwa na hela tu unaburuza unavyotaka.
Mimi mwenyewe amenishobokea sana ila nikawa namkwepa sikupenda uhasama na jamaa na pia huwa namuonea huruma sana yule jamaa.
Na story nyingine Kuna mama mmoja wa kikurya nilimpataga kwenye viwanja vya bata nikamwita meza yangu nikachukua namba yake tukaanza mahusiano nilibutua sana Yule mama hadi leo huwa akija dar kwa ndugu zake lazima anitafute na ndugu zake wanajua kila kitu lakini ana mme wake na familia yake kule Arusha na tangu nifahamiane naye inakaribia miaka minne hadi sasa.
Kwa hyo Kuna aina fulani ya wanawake ili uende nao sawa inakubidi uwe mtu bize sana,usiwe mfuatiliaji na usiwe na wivu ndio utawaweza vinginevyo utakufa na presha.
 
michepuko inaletaga balance kwenye ndoa
Dawa ya moto ni ......... Nngekuwa mm, kitambo nshachukua uamz. Nagonga kitaa, nkirudi namsalimia kimoyomoyo nalala kimya kimya.

Huyu atakuwa kashapata buzi mtaani linamkuna wakat wa mchana. Ndo maana jamaa akifka yeye hana njaa.
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
Kwa mtu ambae hayajamkuta atakubeza lakini Mimi yalishanikuta hayo nikabembeleza tukashirikisha wazazi,tukaenda Hadi kwenye mabalaza ya usuluhisho lakini wapi mwanamke akibadilika huwezi kumnyoosha tena nilipiga sana makofi lakini wapi nikaja kugundua kuwa alidanganywa na makundu kunifanyia madawa ya kienyeji akahisi tayari ameniwin kwakweli nilikuwa na stress sana sikupenda kumuacha na watoto wangu lakini ilifika mwisho nikafanya maamuzi ya kumuacha saiz Nina Amani moyoni mwangu Hawa watu kaka wanakera sana alafu huwa wanabadilika wakishapata mtoto tu,Mwanzo munaishi vizuriii kabisa mzalishe sasa utashangaa anabadilika
 
tunavumilia mengi mkuu! wakongwe hatuna la kusema hapo. jiandae kuomba maji ya kuoga ujibiwe 'yako stoo kwenye ndoo'. au ukiomba chakula uelekezwe kwa mguu au uambiwe 'huna mikono? sufuria na mkaa vile pale'

ndoa zilikuwaza za miaka ya mababu. lakini ikikufikia hii na hauna wazazi au madada zako wakusaidie kumkanya, jiandae kujifia kwa presha, kisukari, athma, vidonda vya tumbo n.k kama Mohammed Moris wa Misri.

tulipoambiwa kua uyaone, hawakumaanisha maghorofa; ni pamoja na haya. vumilia tu mkuu japo baridi la Makambako sio la kitoto.

farijika na Makassy Junior/Ali Zolo
Mkuu ze best solution Ni kutafta Kabinti kazuri kwa gharama yeyote ile alaf anza kuinjoy nako na jitahidi muwe mnatumiana meseji na uwe unaacha siku bila kuilok na jitahidi Mkeo ashike simu siku 1 aone meseji nzuri nzuri za huyo mwenzie Basi hapo atawaka moto kwa hasira alaf mtagombana kidogo, badae mkipatana atakuuliza huwa hupati nini kwangu mpaka unatoka nje we mwbie hauko romantik,una ubabe mwingi na mzigo sometime unaninyima basi,atapoa mwenyewe na kuanzia siku hiyo atakupa mzigo Kama dawa kwa siku Mara 3 hivyo wewe msugue hasa na umuoneshe na mhakikishie kuwa Sasa amebadilika na wewe unampenda na hutamsaliti hapo kazi itakuwa imeisha.Fanya hizo hatua fasta anza Leo kutafta.Unaweza ni PM nikushauri zaidi,Mimi ni mzoefu wa ndoa bro
Mkuu najitahd kukuDM kidogo
 
JF kuna mambo.
Eti mke anakuletea matukio.
Ingekua mimi angekua ananiona nikija kubadili nguo asubuhi.
Kama ndani ya wiki hajabadilika. Nabadili mwingine.
Watu wanabadilisha timu kutoka upenzi na Simba kuja Yanga. Wewe mwanamke anakuringia????
Mwanamke???? Siamini
Mkuu kuna wanawake jeuri duniani usiombe ukutane nao. Mdogo huambiwa na mkewe leo sijisikii kusex. Na hagusi. Lakini mwanamke ashapanga ratiba na mchepuko. Aliwahi ambiwa nina mimba ila siyo yako, kumwuliza ya nani akajibu ya mwanaume. Na vituko vingine kibao.
Dunia imebeba watu na viatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom