Najuta kuoa

Najuta kuoa

Asante mkuu kwa hekima zako . Kuhusu hilo nimeshamuambia ni wapi naenda ndivyo sivyo? Tizama maswali ambayo namuuliza kila Mara
1. Nakuridhisha kimapenzi? Anasema ndio . Hamna shida
2. Sijali familia. Anasema najali sana tena nina huruma
3. Kitu ambacho anahitaji nikae nae mda woote nisiende kutafuta . Anasema nazunguka saaaana . Yeye hana kazi. Nadhani hapo ndo shida ilipo lakini najitahd wikiend yoote nakaa na family na kuicare . Lakini mabadiliko siyaoni hata kdg

Basi bro nikutoe wasiwasi mkeo anakupenda wala usipate hofu ni suala la wivu ndilo linamsumbua alafu WIVU ni kipimo cha mapenzi anakuwa na wivu kwa kuwa ana hofu ya kukupoteza

Shemeji ako alinileteaga hizo inshu nikampa uhuru amua either uendelee na maisha yako au ubadlike mwaka wa tatu huu katulia muombe sana Mungu pia spirituality kwenye ndoa ni muhimu sana sema tunaichukulia poa....pia hudhurieni semina za ndoa zinasaidia sana ku renew vows zenu kuwafanywa wapya
 
MADHALI UMEMBMBELEZA HATAKI BASI WW USIMUAMBIE KITU KUANZIA SASA, NA WW JIFANYE HUJALI, MSHUGHULIKIE MTOTO WAKO TU NA UMPE HELA YA MATUMIZI TU, JIFANYE KIVYAKO, ALAF TAFUTA KAMCHEPUKO PEMBENI MKAPIME AFYA MUANZE MAHUSIANO, ATA KIKAWA KASURA HAKIPO POA MPIGE PUMBU KISASAWA UMPAGAWISHE NA WW UPAGAWE HASAA, UONE KAMA HUYO MKE WAKO HESHIMA HAITORUDI NA KUANZA KUKUPENDA KWA KASI YA 5G
Mkuu sasa mke wake akirudisha heshima kamchepuko atakako kuwa ametafuta akafanyeje? Akotose? Wakati kamemfuta chozi mke alipozingua.
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali

Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.

Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
anza kumla t*go
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali

Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.

Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
mpe likizo ya miezi sita akili imkae sawa kwanza
 
Ukileta mitazamo ya
- Jamii
- Dini
- Wazazi/ndugu
- Kiapo

Kwenye ndoa lazima udate. Natumaini ukifuata serikali ya kichwa chako bila kusikiliza mitazamo ya watu utamaliza tatizo lako. Maana naamini unamjua vizuri huyo dada.

Tumia udhaifu wake kumaliza tatizo kwa chanya au hasi.
 
Katafute mazezeta siku ya jumamosi kwenye maombi aliyoandaa @BASHITE ndio uwape hiyo story yako.
😅 😅 😅 hilo la wapi leo baba mkuu, la chooni. au! tangu lini akaandaa maombi huyu kijana?
 
Katafute mazezeta siku ya jumamosi kwenye maombi aliyoandaa @BASHITE ndio uwape hiyo story yako.
😅 😅 😅 hilo la wapi leo baba mkuu, la chooni. au! tangu lini akaandaa maombi huyu kijana?
 
JF kuna mambo.
Eti mke anakuletea matukio.
Ingekua mimi angekua ananiona nikija kubadili nguo asubuhi.
Kama ndani ya wiki hajabadilika. Nabadili mwingine.
Watu wanabadilisha timu kutoka upenzi na Simba kuja Yanga. Wewe mwanamke anakuringia????
Mwanamke???? Siamini
Anaringa wakati nina mlipa mshahara wa kuwa Nyumbani kwangu, hata kuzalia kwangu ana lipwa! nimpe maisha yangu anipikie! nile! nioge! nilale nikorome! kwanza simuamini mpaka hapo!

Anasomeshewa.

Mahari nimetoa

Nyumba anajengewa! aishi yeye mie niko kazini mda wote!

namfurahisha heeee! baba mkuu

amekuroga huyo si bure! siku limbwata likisha nguvu, si kata funua hiyo!, mama yake atapokea mzigo robo robo! miguu na kiwiliwili kwenye Kiroba.
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali

Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.

Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
Nadhani title ya thread hii ingekuwa "NAJUTA KUOLEWA"
Hayo maelezo yote ni ya mtu aliyeolewa na sio kuoa...
 
Pole bosi

Tatizo lako hukujiandaa kuoa ungekuwa umejiandaa usingekuja huku

Tatizo jingine watu wanaoleta hoja kiwakandia wenzao ndio wabaya na no njia ya kificha ubaya wao ili kijifariji
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali

Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.

Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
Mpe zawadi kimoyomoyo Mkuu lazima atakuuliza kwanini huleti zawadi.... Mwambie nimekupa kimoyomoyo
 
Nadhani title ya thread hii ingekuwa "NAJUTA KUOLEWA"
Hayo maelezo yote ni ya mtu aliyeolewa na sio kuoa...
Mleta mada pambana na hali yako!! Mke mwema hutoka kwa bwana.
Sasa muache uone cha moto!! Ndo utapata mchawi kabisaaa!!!

Akutoe msukule ukome hata Jf hutaijua tena. Utalima wewe utafyamba wanaume zake mpaks ukome!!

Shukuru kumpata huyo wa ivo!!!! Unashindwa kuoa kinyemela dume zima.??

Yaani sipati picha!! Ulivo! Kilaza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom