kidubwengo
Member
- Jan 7, 2017
- 9
- 5
Tupia na kapicha ka mkeo
Mdogo wako ni dhaifu sanaNahisi wewe ni mdogo wangu na kama sio wewe basi itakuwa story zenu zinafanana yaani mkewe yuko hivyo hivyo mpaka jamaa anatamani kumwachia kila kitu ahame mkoa au nchi kabisa!
Wakuu napumzika kuchati maana nimelewa tayar nimepata furaha ya muda LAKINI nitajuta haya nifanyayo Mungu anisamahe. Ngoja nitume vyakula huko nyumbani nao wafurahi
Mkuu kwani hakuna housegirl hapo?Na huwa napenda kabla sijamuomba game huwa naandaa masingira toka asubuhi utani wa hapa na pale, hata kumuogesha ,kumsifia hata kwa kinafiki sasa jioni nahisi ni kusukuma tu kama mlevi LAKINI utaskia oooh kiuno chauma,ooh sjui nini subir kidogo nipukzk dk chache ohhh blabla kibao. Akilala ni fofofo mpaka asbuh. Saa 1:30 usiku tu usingizi mororo. Namimi nikiona hivyo,natoka kupombekaaa. Nimepanga kuchepuka
Unamfananisha na nani ambaye yuko tofauti na huyo?kwani ulishawahi kuishi na mwingine ukaona kuna tofauti?au unapewa ushauri na walioshindikana kwahiyo unahisi huyo wako ana kasoro?Nenda nae taratibu,tafuta wakubwa waliomzidi wamuelekeze jinsi ya kuishi na mwanaume kwenye ndoa,kinyume cha hapo sioni uharibifu mkubwa bado anarekebishika huyo...Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.
WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!

Mzee wewe ni Mkurya nini? Ha ha ha mana umejaa upepo sanaHata kinyonga hubadilika kutokana na mazingira aliyopo. Kuna mazingira umeyatengeneza wewe yamepelekea awe hivyo.
Umetupa mabaya yake, , ya kwako hujatupa.
Unatulazimisha tujadili u kanda maalum wake, nahisi kabila lake Mkurya. Tangu kabla hujaoa hukujua kuwa ni Mkurya? Mbona wakura watu poa sana wenye adabu na heshima zote?
Unasema uko Makambako 7unajifunika shuka, je haya ni majira ya kujifunika shuka Makambako, ?
Nadhani uko kwenye Makambako ya bongo muvi ............
Katafute mazezeta siku ya jumamosi kwenye maombi aliyoandaa BASHITE ndio uwape hiyo story yako.
Na mahali ni hukohuko Makambako?Nahisi wewe ni mdogo wangu na kama sio wewe basi itakuwa story zenu zinafanana yaani mkewe yuko hivyo hivyo mpaka jamaa anatamani kumwachia kila kitu ahame mkoa au nchi kabisa!
Sina hata nasaba na Wakurya. Ila uwongo wa mshikaji uko dhahiri.Mzee wewe ni Mkurya nini? Ha ha ha mana umejaa upepo sana
Asee hapo namtetea jamaa mana mi mwenyewe nimejikuta nacheka peke yangu hapa tena sana hasa hapo huyo shemeji alipomwambia "huwa nashukuru kimoyomoyo"Mkuu, kwa hiyo wewe hadi umecheka maana unafurahia magumu anayopitia huyu jamaa? Au kucheka kwako kuna maana gani? Sijaelewa!!!