Najuta kuoa

Najuta kuoa

Uwongo gani? Kwamba nimelazimisha kutoa kitu kinachoniumuza moyoni?? Au niongope ili iweje labda?? Hujawaza vizuri. Hapa nimetoa sumu mwilini huu muda ungekuta tupo kwenye morning Glory!! Lakini tumelal mzungu wanne . Unafkr ningeshika hii simu na kuandika?
Hoja zangu ziko wazi na bayana kwenye post, #4 nenda ukasome v
 
mimi naona asipo take care na wewe don't that's all huwa itamuuma na yeye akichepuka ndio iwe mwisho mwambie mmalizane maana haitoachika hiyo tabia amini nakuambia
 
Kazi kwelikweli usiumize roho yako mkuu michepuko inaponya wenye madhira kama yako.
 
Huyo anakupendavilabanahitaji kubembelezwa.....ahahaahaa..story nyingine zinachekeza
 
Makambako kwa jah people!! Vumilia baba ndoa inahitaji uvumilivu tu.yatapita jipe moyo
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
Anashukurugi ki moyo moyo 😁😁😁
 
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Je wewe sio chanzo cha yeye kuwa na hizi tabia?,

Je kwani kabla ya kuanza kuishi pamoja hukutambua tabia zake??

Je unadhani wapi unakosea, jirekebishe, naye atafuata mkondo.

Inasemekana: Tabia ya mwanamke katika ndoa hujengwa na kuimarika kutokana na tabia za mwanaume, Nadhani kuna mahala unakosea, jitafakari kisha jirekebishe, naye atabadirika kidogo kidogo na maisha yenu yatabadilika pia.
 
ukiachana na yote hayo uliyoongea huko mwanzo mimi hapo mwishoni ndo pamenimaliza kabisa yaani hapo uliposema alikujibu kuwa huwa anashukuru kimoyomoyo ndo pamefunga kazi nimejikuta nacheka kwa nguvu peke yangu alfajiri yote hii aise hilo jibu la mkeo limeifanya siku yangu ianze vizuri
Mkuu, kwa hiyo wewe hadi umecheka maana unafurahia magumu anayopitia huyu jamaa? Au kucheka kwako kuna maana gani? Sijaelewa!!!
 
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA
Analala na jinsi suruali
Ananifokea kama katoto
Nikimshika kiuno anajidai anaumwa
Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru
Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali
Nikimkaripia anakuja juu
Maneno yamekuwa mengi Sana
Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara
Ana ujasiri usio kuwa makini hata aweza kunifungia nje endapo nmechelewa usiku aidha kutafuta au kucheki mpira
Napoandika hii nimelala mzungu wa nne
Tuna mtoto wa kike wa kwanza,ndo anamjali tu.
Ni kanda maalum
Mtoto japo ni mdogo ila ndo ananipa moyo
Moyo wangu umejaa machozi hayatoki nje.

WAKUU WANGU
Nitumie mbinu gani kuishi na mtu kama huyu . Nikimuuliza mbona huna shukrn anasema anashukurugi kimoyo !!
Ww kalale nje siku zote.....
 
tunavumilia mengi mkuu! wakongwe hatuna la kusema hapo. jiandae kuomba maji ya kuoga ujibiwe 'yako stoo kwenye ndoo'. au ukiomba chakula uelekezwe kwa mguu au uambiwe 'huna mikono? sufuria na mkaa vile pale'

ndoa zilikuwaza za miaka ya mababu. lakini ikikufikia hii na hauna wazazi au madada zako wakusaidie kumkanya, jiandae kujifia kwa presha, kisukari, athma, vidonda vya tumbo n.k kama Mohammed Moris wa Misri.

tulipoambiwa kua uyaone, hawakumaanisha maghorofa; ni pamoja na haya. vumilia tu mkuu japo baridi la Makambako sio la kitoto.

farijika na Makassy Junior/Ali Zolo
 
Je wewe sio chanzo cha yeye kuwa na hizi tabia?,

Je kwani kabla ya kuanza kuishi pamoja hukutambua tabia zake??

Je unadhani wapi unakosea, jirekebishe, naye atafuata mkondo.

Inasemekana: Tabia ya mwanamke katika ndoa hujengwa na kuimarika kutokana na tabia za mwanaume, Nadhani kuna mahala unakosea, jitafakari kisha jirekebishe, naye atabadirika kidogo kidogo na maisha yenu yatabadilika pia.
Asante mkuu kwa hekima zako . Kuhusu hilo nimeshamuambia ni wapi naenda ndivyo sivyo? Tizama maswali ambayo namuuliza kila Mara
1. Nakuridhisha kimapenzi? Anasema ndio . Hamna shida
2. Sijali familia. Anasema najali sana tena nina huruma
3. Kitu ambacho anahitaji nikae nae mda woote nisiende kutafuta . Anasema nazunguka saaaana . Yeye hana kazi. Nadhani hapo ndo shida ilipo lakini najitahd wikiend yoote nakaa na family na kuicare . Lakini mabadiliko siyaoni hata kdg
 
Hata kinyonga hubadilika kutokana na mazingira aliyopo. Kuna mazingira umeyatengeneza wewe yamepelekea awe hivyo.
Umetupa mabaya yake, , ya kwako hujatupa.
Unatulazimisha tujadili u kanda maalum wake, nahisi kabila lake Mkurya. Tangu kabla hujaoa hukujua kuwa ni Mkurya? Mbona wakura watu poa sana wenye adabu na heshima zote?
Unasema uko Makambako 7unajifunika shuka, je haya ni majira ya kujifunika shuka Makambako, ?

Nadhani uko kwenye Makambako ya bongo muvi ............

Katafute mazezeta siku ya jumamosi kwenye maombi aliyoandaa BASHITE ndio uwape hiyo story yako.
Eti shuka makambako loh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom